MWANAMASOKO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 211
- 92
Habari ya uzima. Kuna vitu nilikuwa na screenshot kwenye simu kisha naa upload kwenye Google photo. Ila sasa baada ya kuflash simu sizioni kwenye Google photo. Je nawezaje kuzipata?
Nikitaka kurecovering document za simu nafanyaje baada ya kuflash simu.
Asanteni.
Nikitaka kurecovering document za simu nafanyaje baada ya kuflash simu.
Asanteni.