Kwa majibu ya wengi kuhusiana na mahojiano ya RA na TM inaonyesha kuwa Tanzania bado tunasafari ndefu ya kuzuia ufisadi na wizi wa mali za umma. RA hata angekuwa tajiri vipi lakini kama ananufaika kupitia kuiba na kufisadi rasilimali zetu akishirikiana na uongozi wa nchi ulioko madarakani...
Labda nichangie kidogo,mimi nilikuwa nashida ya kubadilisha taarifa zangu mwaka wa kuzaliwa unatofautiana na uliopo kwenye kitambulisho cha NIDA.
Nilipewa muda mfupi na muajili wangu kurekebisha taarifa zangu za NIDA ili zifanane na za kiutumishi kwani ndoo zilikuwa taarifa sahihi. Nilianzia...
Africa hatujawahi kujielewa hata siku moja. Dini ya kiislam ukiisoma vizuri hakuna mahali inakwambia umuuwe mwenzako au umdhuru kwa njia yoyote ile eti amekufuru au ameenda kinyume na maamrisho ya Allah. Unatakiwa kumnasihi,kumpa mawaidha na kumuelekeza ili umjenge kiimani aone kwa kuna Mungu...
Wananzengo habari za muda huu. Kuna mashine niliinunua miezi 4 iliyopita kwa sh.700,000. Sasa kuna mtu anasema nimpe aifanyie kazi kwa kuikodi ikiwa mtaji wa kila kitu na services zote ni zake. Anasema atatoa 100,000 kila mwezi ambayo sawa na sh 3300 kwa siku.
Nimemwambia angalau iwe 5000 kwa...
Umeongea vyema sana kiongozi, Magufuli sawa kuna mambo alifanya mazuri lakini mabaya naona ni mengi.Huwezi kutaka nchi iwe kama familia yako itafikiri utaishi milele. Kila aliepinga twende kazi,anatamka waziwazi siwahtaji wapinzani kana kwamba wañiokubali multipaty system hawakuwa na akili...
Kwanza biashara huyo jamaa yako hajawahi kufanya anataka aanze kwa kutumia hiyo fedha yakupewa ambapo ikifa ndoo kwa heri. Alambe ajira apate hiyo m.1 kwa mwezi,apange vizuri matumizi yake na mtaji wa kuanzisha biashara ataupata hapo hata bila kuchukua mkopo.
Nilivyoona ni Lukasi sijasoma kabisaaa kwa sababu naona aibu na upumbavu nitauona mimi.Na Mungu akinipa mtoto akawa na akili kama za Lukasi ni bora nbadilishane na fungu la nyanya.
Tukiongelea mtu kuwa dini fulani ndoo kigezo cha uzalendo nadhani tunakosea sana,mtu binafsi kwa malezi yake kutoka kwenye familia yake na tamaa zake anaamua kuwa mwizi na mbazilifu wa easilimali za serikali. Mfano Benjamini Mkapa alibinafsisha kila kitu na hata chembechembe ya uzalendo...
Sasa wewe ambae umesoma mfumo mwingne wa elimu bila kuunga unga umelisaidia nini taifa? Umevumbua nini au umegundua nini ndugu yangu ili tujivunie na wewe?
Yaani ukiwa msomi alienda shule ukaandika vitu ambavyo hujawahi hata kuvifanyia uchunguzi angalau kidogo inakuwa inatia aibu. Ngoja niwaeleze kama mnataka kujua vizuri.
Mtaala wa elimu shule za msingi kwa mtu aliemaliza kidato cha nne akapata four ya 28 na kushuka chini,akaenda chuo miaka miwili...
Uzuri uliopo Tanzania ni maiti zilizolala mortually. CCM lazima waendelee kutawala milele na ndoo CCM wanalingia hilo. Mimi siku wakibadilisha vifungu vya sheria za uchaguzi ndipo nitakapo piga kula
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.