Recent content by Mwanaidi.

  1. M

    Mkoa upi wa Tanzania wenye wasichana wazuri?

    Uzuri uko machoni mwa mtu husika kwani kilichokizuri kwako , kitakuwa kibaya kwa mwingine na kilichokibaya kwa mwingine kikawa kizuri kwako
  2. M

    Ile tofauti ya wasichana wa Mjini na wa Vijijini bado ipo?

    Mambo yamebadilika sana sasa... na si kwa wanawake hata kwa wanaume pia
  3. M

    Kuchepuka ni asili yetu

    mtazamo wa kijinga , na awazalo mjinga ndilo humtokea
  4. M

    Mhudumu wa baa na glass (utafiti huru)

    Nitalifanyia uchunguzi
  5. M

    Wanaume tupeni majibu sahihi kwanini mnapenda kuwachumisha wengine dhambi?

    jamani situnataka haki sawa kwa kila jambo ? sasa tukiachwa na wenza wetu na tukajitunza na kutunza watoto wetu bila msaada wao kunatatizo gani?
  6. M

    Wasi wasi

    hutaki kuoa ? , acha afanya mipango ya ndoa maana na umri wake unakwenda mbele kwa kasi.
  7. M

    Hausegirl katushika pabaya

    Kifupi Nyie Ni Wauwaji
  8. M

    Wanaume mliopata wapenzi JF mliwezaje?

    na mimi shahidi tukupe siku ngapi nyani ngabu ? hana uwezo huo madame b
  9. M

    Faida za kufanya mapenzi

    ukweli faida zake ni kubwa hata wewe umepatikana kwa watu kufanya mapenzi , pili usipofanya pia hakuna madhara yoyote utakayo yapata sana afya yako itakuwa imara zaidi
Back
Top Bottom