Recent content by Mwanaharakatihuru

  1. M

    Zitto: Watanzania kutoka mkoa wa Kigoma waliokamatwa huko Tegeta waachiwa

    Hamna kitu cheap popularity tu. Polisi wamejiridhisha wakawaachia huna hata chembe ya msaada wewe kauze ule mlima wako wa madini uUvinza kwa Wajerumani wako tu. Naunga mkono kutogembea kwako ubunge au urais kwani cadre yako hii nchi haitaendelea. Zitto lipi unajivunia umefanya Kigoma au kwa...
  2. M

    Zitto: Wahamiaji haramu waliokamatwa Tegeta waachiwe mara moja

    Bora zitto amejigundua mvuto wa siasa umeisha kwake na kusema hatagombea ubunge au urais2015. Leo kaja na mpya ya siasa za zamani eti bila yeye wale wasingeachiwa ili hali polisi wamejiridhisha!
  3. M

    Zitto: Wahamiaji haramu waliokamatwa Tegeta waachiwe mara moja

    Huyu kama mzigo wake umekamatwa si aseme tu sio kuongea fallacy ! Kwanza yeye na nduguye selukamba sio raia
  4. M

    Zitto: Wahamiaji haramu waliokamatwa Tegeta waachiwe mara moja

    Katika hali ya kustaajabisha mbunge machachari na rais mtarajiwa atetea wageni haramu wasifurushwe kwa kupiga simu lukuki kwa waziri wa mambo ya ndani. Wageni hao ni wa tegeta Kamwe serikali haiendeshwi kwa matakwa ya mtu au chombo fulani. Sheria ifuate mkondo wake. Source: zitto facebook page.
  5. M

    Kamanda wa vijana wa CHADEMA akamatwa kwa ujambazi.

    Yale magonjwa yako yanaendeleaje tunahitaji majibu tusije wote itwa vichaa
  6. M

    DC nusura amsweke rumande padre

    DC anafaa kuteam up na mwigulu kwenye usuluhishi wa loliondo.
  7. M

    Maiti ya Mwanajeshi wa JKT yaokotwa porini Makutupora Dodoma

    akili kama za deo kwi kwi kwi teh teh kumbe jf ni vyanzo vya ajira kwi kwi teh teh teh
  8. M

    Maiti ya Mwanajeshi wa JKT yaokotwa porini Makutupora Dodoma

    teh teh teh akili kama za deo kwi kwi kwi
  9. M

    Taarifa: Usalama Wangu Hatarini

    Mchambuzi Kaka kuwa makini
  10. M

    Nssf: Fao la kujitoa lajitoa na kutoweka lapata baraka zote

    Katika majonzi na simanzi kubwa nataka kuujulisha umma kuwa fao la kujitoa limefutwa siku yeyote kuanzia sasa na mwezi february mtatangaziwa. Poleni sana ndugu zangu mliokumbwa na hili. Wasalaam.
  11. M

    wizi NBC wa cashier wa bank ( amebambika hela)

    Atm siku hizi zinatoa not fake du mjini ni soooooooooooooooo
  12. M

    Should CHADEMA Fire Zitto?

    Zitto kabwe hagombee ubunge tena anautaka urais ila namuomba atuambie ninani anataka aongoze jimbo maana hawa ADC hapa kigoma ni hatariiiiiiiiiii wameshabeba vijiji takribani vyoteeee zitto imarisha chama jimboni kwako achana na hao wapiga kelele
  13. M

    Martin shao ajipibiwa kwa risasi zanzibar je tunaelekea wapi??

    Siku moja baada ya maaskofu kutoa tamko la jumuiya kikristo huko zanzibar padri apigwa risasi kichwani. Ikumbukwe katika tamko lao waliainisha kuwa kuna mauaji yamepangwa zidi ya wachungaji, maaskofu na mapadri. Katika sakata hilo likiendelea kambi ya masista yavamiwa je ni wapi...
Back
Top Bottom