Hamna kitu cheap popularity tu. Polisi wamejiridhisha wakawaachia huna hata chembe ya msaada wewe kauze ule mlima wako wa madini uUvinza kwa Wajerumani wako tu. Naunga mkono kutogembea kwako ubunge au urais kwani cadre yako hii nchi haitaendelea. Zitto lipi unajivunia umefanya Kigoma au kwa...
Bora zitto amejigundua mvuto wa siasa umeisha kwake na kusema hatagombea ubunge au urais2015. Leo kaja na mpya ya siasa za zamani eti bila yeye wale wasingeachiwa ili hali polisi wamejiridhisha!
Katika hali ya kustaajabisha mbunge machachari na rais mtarajiwa atetea wageni haramu wasifurushwe kwa kupiga simu lukuki kwa waziri wa mambo ya ndani. Wageni hao ni wa tegeta
Kamwe serikali haiendeshwi kwa matakwa ya mtu au chombo fulani.
Sheria ifuate mkondo wake.
Source: zitto facebook page.
Katika majonzi na simanzi kubwa nataka kuujulisha umma kuwa fao la kujitoa limefutwa siku yeyote kuanzia sasa na mwezi february mtatangaziwa.
Poleni sana ndugu zangu mliokumbwa na hili.
Wasalaam.
Zitto kabwe hagombee ubunge tena anautaka urais ila namuomba atuambie ninani anataka aongoze jimbo maana hawa ADC hapa kigoma ni hatariiiiiiiiiii wameshabeba vijiji takribani vyoteeee zitto imarisha chama jimboni kwako achana na hao wapiga kelele
Siku moja baada ya maaskofu kutoa tamko la jumuiya kikristo huko zanzibar padri apigwa risasi kichwani. Ikumbukwe katika tamko lao waliainisha kuwa kuna mauaji yamepangwa zidi ya wachungaji, maaskofu na mapadri. Katika sakata hilo likiendelea kambi ya masista yavamiwa je ni wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.