Martin shao ajipibiwa kwa risasi zanzibar je tunaelekea wapi??

Martin shao ajipibiwa kwa risasi zanzibar je tunaelekea wapi??

Mwanaharakatihuru

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2012
Posts
477
Reaction score
120
Siku moja baada ya maaskofu kutoa tamko la jumuiya kikristo huko zanzibar padri apigwa risasi kichwani. Ikumbukwe katika tamko lao waliainisha kuwa kuna mauaji yamepangwa zidi ya wachungaji, maaskofu na mapadri. Katika sakata hilo likiendelea kambi ya masista yavamiwa je ni wapi tunaelekea......Nachelea kusema ngoma ivumayo......
 
watadai wanafanya hayo coz hawautaki muungano, hawa watu bana wana matatizo sana
 
Watambue tu kuwa uvumilivu una mwisho
 
Mkuu wa polisi zanzibar amejaribu kuficha ukweli kwa kusema waliofanya kitendo hicho ni majambazi eti walifuata sadaka, iweje wapige risasi na kutokomea kusikojulikana na wasichukue chochote, inatia shaka na nadhani serikali ya mapinduzi Zanzibar ipo nyuma ya utekelezaji wa maovu hayo. Chonde chonde kama hajui ukweli ni bora angesema tu tunachunguza chanzo cha tukio. Na kwa kufanya hicho wamefanya siku si nyingi wakristo watajilinda maana hakuna anayekubali kufa pasipo kujilinda.
 
Nimeshasema hapa na ninaendelea kusema kuwa ndoa ya Tanganyika na Zanzibar not valid at all!! Ivunjwe na Zenj ibakie kuwa Zenj!! Mni kitu gani Tanganyika inakilazimisha hapa!! Kwa sasa Zannzibar haitaki kabisa kuwa sehemu ya Tanzania. I tell you wataanza kwa dini ukristo watamalizia na kuwaua watanzania waishio zanzibar wote na hapo dini pembeni maana baada ya kuwamaliza wakristu watabaki watz waislam na watawaondoa kwa nguvu. Ikumbukwe huwa wanasema waislam wa bara si waislam ni makafiri!!! Huu msemo upo zanzibara, na hata familia ambazo zina simeshika dini sana Zenj hazikubali binti/kijana kuoa waislam wa bara!! Wanaonekana si wacha M.S.W!!! Ngoma ndo imeanza. Pole Fr. Mkenda, Mungu akupe uhai ila kwa hali niliyokuona nayo ni Mungu ahusike na Uhai wako.
 
Siku moja baada ya maaskofu kutoa tamko la jumuiya kikristo huko zanzibar padri apigwa risasi kichwani. Ikumbukwe katika tamko lao waliainisha kuwa kuna mauaji yamepangwa zidi ya wachungaji, maaskofu na mapadri. Katika sakata hilo likiendelea kambi ya masista yavamiwa je ni wapi tunaelekea......Nachelea kusema ngoma ivumayo......

Mkuu Mwanaharakatihuru rekebisha kichwa or edit kichwa kisomeke vizuri. Asante.
 
Shein kashindwa kazi, JK kashindwa kazi arudishwa Komandoo au la wakatoliki wajilinde wenyewe serikali imeshindwa. Hii nizaidi hata ya Afrika Kusini
Siku moja baada ya maaskofu kutoa tamko la jumuiya kikristo huko zanzibar padri apigwa risasi kichwani. Ikumbukwe katika tamko lao waliainisha kuwa kuna mauaji yamepangwa zidi ya wachungaji, maaskofu na mapadri. Katika sakata hilo likiendelea kambi ya masista yavamiwa je ni wapi tunaelekea......Nachelea kusema ngoma ivumayo......
 
Back
Top Bottom