Recent content by Mwanah

  1. M

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    MH RAIS SAMIA Naomba kuwasilisha ombi kwa mheshimiwa samia asamehe wafungwa wa kesi za kisiasa na kesi zinazoendelea ili tuanze upya awamu ya 6
  2. M

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    2017 nusu tupoteze mbunge kwa risasi usisahau wanaotekwa na kupotea jumla kama saa nane na yule mwandishi n.k
  3. M

    Kada Tundu Lissu huenda akapata "endorsement" ya Serikali kufanya kazi za kimataifa

    mimi siamini kama Lissu alipigwa risasi zile ila tunafichwa mambo pale ule ni mpango mzima na misheni ndefu ya uongo ikishirikisha watu wa usalama walioo serikalini na wale waliotumwa kuekiti ni wapinzani.Subirini ya hii move au tamthilia haina tofauti sana na ile ya balali wa b.o.t
  4. M

    NEC yasema haitatumia Wakurugenzi kusimamia uchaguzi Tanzania

    TUSIBWETEKE IKUMBUKWE SERIKALI IMEKATA RUFAA MAHAKAMA YA RUFAA NA KESI BADO.
  5. M

    Mabilionea Afrika nzima hawazidi 20, hao 100 wa Tanzania watatoka wapi kwa muda aliobakiza.

    Wanazungumzia bilioni za dora za marekani sio shilingi ya tz
  6. M

    Mbeya wamemdanganya Rais Magufuli kuhusu stendi Uyole

    Niliandika bango wababe wakanyang'anyanya ila huu ndo ukweli hadi wazee waliohamishwa na maeneo nawajua kwa majina
  7. M

    Mbeya wamemdanganya Rais Magufuli kuhusu stendi Uyole

    Tarehe 30/04/2019 rais wa nchi akiwa ziarani mkoani Mbeya ghafla alisimama Uyole njia panda ili awasalimie watu waliokuwa wamejaa barabarani. Katika kuwasalimia watu ndipo alimwita diwani wa kata ya Nsalaga ambaye zamani alikuwa mchungaji kabla hajaingia kwenye siasa ili huyo diwani kwa niaba...
  8. M

    Najua nchi pekee duniani ambayo huchaguliwa Rais wa nchi na nchi nyengine ni Zanzibar

    ACT WAZALENDO KINA WANACHAMA WENGI TANZANIA BARA HADI ZANZIBAR
  9. M

    Magufuli ulisema elimu bure.Mwalimu hapa Mbeya mjini anatudai 5000 @ mwezi

    Kata hali ya kushangaza na inayoonekana ni dharau kwa rais Magufuli aliyesema elimu bure baadhi ya mambo yanayofanyika nchini ni tatizo hasa tuition serikali iangalie vizuri.
  10. M

    Wanafunzi sekondari za Mponja na Uyole day jijini Mbeya wanakaa chini

    SIO MBILI NI NYINGI ILA MIMI NAKAA KATA MOJAWAPO YA HIZI SHULE NA HIZI ZOTE ZIPO JIRANI NA MIMI
  11. M

    Mhe. Mbilinyi "SUGU" Kumbe ni Maarufu hadi Nje!

    UMEJITAHIDI SANA KUEDITE PICHA ZA SUGU KWENYE MAGARI. NASIKIA HATA SHETANI NI MAARUFU NA ANAJULIKANA MBINGUNI ILA HUKO HAWAMWESHIMU KABISA ILA BAADHI YA WACHAWI DUNIANI WANAMWESHIMUI.
  12. M

    Wanafunzi sekondari za Mponja na Uyole day jijini Mbeya wanakaa chini

    mapato ya jiji la mbeya yameongeza mara dufu wakati ccm wanatawala jiji walikuwa wanakusanya milioni 400 chadema wanakusanya milioni 1200 yaani bilioni 1.2 ila yote inaishia kulipana posho na kukopeshana madiwani.
  13. M

    CHADEMA isitafute mchawi, ni Mbowe

    SHIDA NI MOJA NI KWAMBA WATU WANAAMINI KUWA MBOWE NI MPINZANI WAKATI NI SHUSHU WA CCM.
Back
Top Bottom