Prof Kabudi......akili nyingi, maarifa, msomi mwongeaji mzuri, anajua sheria, historia ya nchi, Afrika na dunia, na kutumikia Wizara mbalimbali kumemuongezea ufahamu mkubwa wa Serikali na matarajio ya wananchi. Sidhani kama ana tamaa ya kujilimbikizia mali pia
Umesema kweli kabisa! Hata vibao barabarani vya kuelekeza hizo hoteli na hospitali zao vimeandikwa kwa Kichina. Bora wangekuwa wanaweka na maandishi ya Kiswahili pia katika vibao hivyo.
Huko kwenye maeneo yenye madini nako wamekuwa wengi wakiwa kama wachimbaji wadogo. Binafsi naona kama kuna...
Hata mimi imenistua kidogo.....sikumbuki matukio kama haya kuona au kusikia CDF mwenyewe anakwenda nyumbani kwa mfiwa kwa maelekezo ya rais. Anyway....
Niliona na ndugu wa marehemu anamuombea kazi ndugu yake ambaye yuko Kigoma, sijui aingizwe jeshini au vipi! ili asaidie familia
Leo nimekusikiliza ukiongea kwenye kikao kazi cha wakuu wa taasisi za umma Dodoma. Umeongea mambo mengi mazuri, makubwa na ya msingi kwenye hotuba yako ya ufunguzi. Umezungumzia changamoto mbalimbali za kiutumishi, uwajibikaji, maadili nk. Umetoa mifano hai na ufafanuzi wa kueleweka. Nakupa...
Nje ya mada ila ni kwa ajili ya tafakuri:
Uliona viongozi wa nchi ambazo Trump aliwaalika kwenye sherehe za uapisho wake? Wakubwa na traditional US allies wote hakuwaalika!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.