Recent content by Mwanagenzi

  1. M

    Njoo na hoja nani unaona anamzidi Rais Samia

    Prof Kabudi......akili nyingi, maarifa, msomi mwongeaji mzuri, anajua sheria, historia ya nchi, Afrika na dunia, na kutumikia Wizara mbalimbali kumemuongezea ufahamu mkubwa wa Serikali na matarajio ya wananchi. Sidhani kama ana tamaa ya kujilimbikizia mali pia
  2. M

    Mwendelezo wa 2018: Uzi maalumu: Rwanda wanavyotumia wadada warembo katika ujasusi wao

    Nimemsikia Dr Slaa anasema anajua changamoto anazopitia CDF katika kutekeleza majukumu yake....labda ndiyo mambo kama haya
  3. M

    Viongozi wa SADC wasalimu amri wa Kagame! Wakubali kuondoa vikosi vyao CONGO DRC. Huu ni ushindi kwa Kagame na hatari kwa mataifa yanayomzunguka

    Naamini hivyo, itakuwa wanamlia timing ajichanganye. Maadam US anataka achukue mzigo, na majuzi hapa kaja kutupigisha mazoezi, nadhani kuna jambo litatokea
  4. M

    DOKEZO Video: Ni kama masihara hivi lakini polepole Mikocheni na Masaki zinaenda kutawaliwa na Wachina

    Umesema kweli kabisa! Hata vibao barabarani vya kuelekeza hizo hoteli na hospitali zao vimeandikwa kwa Kichina. Bora wangekuwa wanaweka na maandishi ya Kiswahili pia katika vibao hivyo. Huko kwenye maeneo yenye madini nako wamekuwa wengi wakiwa kama wachimbaji wadogo. Binafsi naona kama kuna...
  5. M

    Mkuu wa Majeshi aitembelea familia ya Sajent Mohamed Abdala Suleiman aliyefariki DRC

    Hata mimi imenistua kidogo.....sikumbuki matukio kama haya kuona au kusikia CDF mwenyewe anakwenda nyumbani kwa mfiwa kwa maelekezo ya rais. Anyway.... Niliona na ndugu wa marehemu anamuombea kazi ndugu yake ambaye yuko Kigoma, sijui aingizwe jeshini au vipi! ili asaidie familia
  6. M

    Napata wapi gari za Kisemvule?

    Fika Gerezani, mbele kabisa karibu na reli. Watanzania ni wakarimu, ukifika hapo ulizia, utasaidiwa
  7. M

    Hongera Simbachawene na Utumishi, lakini ni sahihi kwa watumishi wa umma wawapo kazini kuwa na mavazi yenye nembo au picha za watu fulani?

    Leo nimekusikiliza ukiongea kwenye kikao kazi cha wakuu wa taasisi za umma Dodoma. Umeongea mambo mengi mazuri, makubwa na ya msingi kwenye hotuba yako ya ufunguzi. Umezungumzia changamoto mbalimbali za kiutumishi, uwajibikaji, maadili nk. Umetoa mifano hai na ufafanuzi wa kueleweka. Nakupa...
  8. M

    CHADEMA badilisheni hiyo kauli mbiu ya "No Reforms, No Elections"

    Hiyo ilani au kaulimbiu ishawatoa pangoni mabalozi wa mabeberu na sasa wanapishana kwenda Chamwino kwa VP, Magogoni kwa PM na Lumumba kwa KM na Tyson
  9. M

    Naishi kwa huzuni Sana. Namsikitikia Tundu Lisu. Naisikitikia Tanzania.

    Weakman, you are not weak! Naiona hofu yako.
  10. M

    Rais wa Burkina Faso Capt Ibrahimu Traore anatarajiwa kuja Tanzania January, 2025. Je, atatingisha jukwaa kama alivyofanya nchini Ghana?

    Nje ya mada ila ni kwa ajili ya tafakuri: Uliona viongozi wa nchi ambazo Trump aliwaalika kwenye sherehe za uapisho wake? Wakubwa na traditional US allies wote hakuwaalika!!
  11. M

    Shirika la Posta ni taasisi inayojipeleka kaburini

    Kwani Maharage Chande anasemaje? Au alishastaafu?
Back
Top Bottom