Vyombo vya ulinzi mambo yake yanafanyika kwa kustukiza. Inaoneka wewe kuna kitu unavizia lkn kila mara wanakusuprize so umeamua kulia lia nyuma ya key board
Ni kweli siyo uongo. Nilitoka bukoba saa kumi alfajiri nikaingia Dar saa tatu usiku. Sina haja ya kukudanganya ndugu yangu. Hizi gar zinajipooza zenyewe
Sent from my SM-G360H using JamiiForums mobile app
Inafika kabisa bila tatizo lolote. Mimi nilitoka nayo Dar mpaka bukoba. Nilipumzika nyakanazi kwa kuwa ilikuwa usiku. Siku ya kurudi nilirudi moja kwa moja mpaka Dar bila tatizo lolote bila kupumzika
Vikosi vya usalama vichukue tahadhari kwani hayo maeneo kuna vijana wengi ni vibaka na wezi hasa katika vijiwe vya bada boda. Mwaka jana hao vijana walivamia hostel za wanafunzi wa KIU wakawapiga na kuwaibia vitu vyao na hizi taarifa zipo kituo cha polisi stakishari. Hawa hawakawii kufanya hivyo...
Kuna mgao wa maji wa kutisha ingawa wapo karibu na vyanzo vya maji. Bei ya maji kwa unit moja ni kubwa kuliko hata maeneo ya jangwani. Ukitaka kufungiwa maji kibali ni laki sita na kukipata ni majaliwa. Fanya research yako vizuri kuanzia eneo la Tarakea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo li IPTL ndio lilisababisha umeme kuwa gharama kubwa na pia deni kubwa kwa Tanesco mpaka sasa. Natamani mali zao zitaifishwe ili zifidie deni la Tanesco
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.