Ni kweli mkuu mimi sikutegemea mtu kama shivji kuongea pumba kwa maslahi ya chama fulani,
Ila mkuu pale chini nikurekebishe kidogo Bwana Yesu ndiye atakayerejea tena ila mtume sijasoma sehem yoyote kuwa atakujarejea tena @naomba kuwakilisha
Tatizo ccm wakishinda kwa kura za kuchakachua wanajiona wameshinda kweli, nyie hamnjui kama ingekuwa haki ccm hawangekuwa madarakani mpaka sasa, mikutano yao yenyewe mpaka wakodi magari ya kureta watu kutoka mbali lakini still wanajitia moyo kuwa mikutano yao inajaa watu wakidhani bado wanakubalika
Kuna watu kibao tu wanaakili kuliko nyerere, wewe unamjua kambona, alikuwa jembe sio kawaida na nyerere alikuwa akiona kiongozi yoyote anamzidi fuatilia historia utaona alikuwa anamfanya nini
Vipi wewe kwani wewe mpaka uone mkoa wa simiyu wanasemaje ndio ukubali serikali tatu, what is mkoa wa simiyu au hujaisoma rasimu ya Jaji warioba nini!... zile enzi za zidumu fikra za mwenyekiti wa ccm, zilishapita
Mkuu una ufunuo ungekuwa mhubiri ungekuwa na doctrine. anyway nakubaliana na wewe jina hili limeficha dhambi nyingi sana ndani na bahati mbaya waumini wake huwa hawataki hata kusikiliza na kuamini pale inapotokea mtu anaanika dhambi zilizomo ndani hata kama ukimpa ushahidi ...ni kama ugonjwa...
Mkuu uko sawa, leo tu nimetoka kuwaambia jamaa hapa ofisin hivyo hivyo, niliwatolea mfano wa kalenga kwamba kama marehemu Mgimwa mpaka anafariki amemalizia safari yake kwenye wizara ya fedha na amekuwa mbunge wao kwa Muda mrefu lakini hakuna maendeleo cha kushangaza wananchi haohao na umaskini...
Mkuu serikali tatu haziepukiki, mzee anajua kushusha mistari mimi nilimwona kama mhuburi furani wa neno la Mungu maana niliona waheshimiwa wamekuwa touched sana
Pamoja na mawazo yako kumbuka hoja ya serikali mbili au tatu haiepukiki kuijadili, kwani hayo uliyosema utayafanikisha katika serikali ipi 'fikiria tena'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.