Sema tu Iran Ina majini sana wanayatuma tuyaongoza . Hayo mabaruti Yao ndio maana tulipo Zima GPS majini yakaziongoza shabaha.
Alisikika myahudi wa tunu nguo.
Kumbe ndio maana majini mengi yanakuja na sura za kiarabu au ki Persian.
Sio Kwa hawa watoto, ni hatari nikiwa narudi bongo nitapita Tehran nikajionee mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.