Mimi pia ni muhitaji. Ninahitaji Business plan kwa ajili ya biashara ya stationery...pamoja na Uwakala wa kutuma kupokea fedha kwa mitandao..mfano Mpesa..Tigopesa. Fahari huduma Equity nk. Msaada wana Jf
Salam kwenu wana JF. Natamani kufanya biashara inayohusiana na mitandao..mfano Uwakala wa Fahari huduma...Equity bank...Mpesa... Tigo pesa nk...nsaidieni wakuu. Kuna mfadhili anataka kunisaidia amehitaji business plan. Nami sijui nianzie wapi..natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.