Recent content by mwana ally

  1. M

    Achari/Ubuyu wa embe

    Nilishaletewa toka Mombasa..tamuuu
  2. M

    Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

    Nimekuelewa. Ngoja nifanye mchakato ..asante Zainab
  3. M

    Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

    Ili nijue naagiza mikebe mi ngapi..Mimi na jamaa hapa nyumbani
  4. M

    Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

    Huo mkebe mmoja unatosha kufanya hiyo kazi mwili mzima Mara ngapi..
  5. M

    Kurasa ya Mapishi mbalimbali

    Haifunguki jamani Fakhrina..
  6. M

    Kurasa ya Mapishi mbalimbali

    Mi Niko nyuma yako hehehee
  7. M

    Jifunze kutengeneza pizza keki

    Maelezo mwaka umeisha...
  8. M

    Naomba kuelekezwa jinsi ya kutengeneza visheti

    Fakhrina hujambo mamii..natamani kupika hivi visheti..naomba vipimo nijimwage Leo Ramadhan 21..hivi naenda nunua hiyo castard
  9. M

    Namaliza degree mwezi ujao, nitaenda wapi?

    Matokeo mabovu...ni matokeo ya kuendekeza starehe hali ukijijua wewe ni mwanachuo..umepanda mbaazi umevuna mbaazi
  10. M

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Mimi pia ni muhitaji. Ninahitaji Business plan kwa ajili ya biashara ya stationery...pamoja na Uwakala wa kutuma kupokea fedha kwa mitandao..mfano Mpesa..Tigopesa. Fahari huduma Equity nk. Msaada wana Jf
  11. M

    Nisaidieni Business Plan

    Salam kwenu wana JF. Natamani kufanya biashara inayohusiana na mitandao..mfano Uwakala wa Fahari huduma...Equity bank...Mpesa... Tigo pesa nk...nsaidieni wakuu. Kuna mfadhili anataka kunisaidia amehitaji business plan. Nami sijui nianzie wapi..natanguliza shukrani
Back
Top Bottom