Khaa, Lara, hii kali, umeuaaa. 'Anajifinya kuona kama hajakufa' LOL
Yani hii story kadiri muda inavoenda ndivo inapozidi kuwa tamu zaidi.
Leta mambo, saa nne hiyoo...
Naomba kueleweshwa hiyo goba ya wasambaa ilipo kwa ufasaha zaidi, mivumoni siijui pia. Napafahamu goba njia nne, njia panda ya Atlas(madale) na goba chuo cha walimu, unaweza anzia popote kuelekeza. Au kwa urahisi zaidi dondosha coordinates za googlemap lilipo eneo lako njia nitatafuta mwenyewe
Ingawa hao CRDB hawakuruhusu kutoa zaidi ya asilimia fulani ya hela uliyoweka, kama una mpango wa kutoa hela yote wakati ukifika nadhani haiwezekani, labda kuwe na utaratibu mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.