Recent content by mwampetele

  1. mwampetele

    JamiiForums Tanzania Iweje miaka michache nilopotezana na wewe ujifanye umekisahau Kinyakyusa?

    Gweh ndemalema ujoh ndeke
  2. mwampetele

    JamiiForums Tanzania Muhongo: Mengi anamiliki ardhi yenye ukubwa sawa na mji wa Moshi mara 80

    Ndo ujue prof anaongea utumbo
  3. mwampetele

    JamiiForums Tanzania Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

    Hujatulia lol
  4. mwampetele

    JamiiForums Tanzania Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

    Umenifurahisha sana mkuu
  5. mwampetele

    JamiiForums Tanzania Umaarufu/Umashuhuri wa Mandela uliotengenezwa na Magharibi na Wazungu!

    Ua very rite, black south africans wanamchukia sana jamaa, wanasema hata mateso aliyoyapata ya kuumwa mda mrefu ni sababu ya usaliti mizimu ilikua haitaki kumpokea...kuna mahero wq ukweli kama sobukwe hawasemwi sana coz walikua na misimamo ya kutetea maslahi ya blacks
  6. mwampetele

    JamiiForums Tanzania Siku ya kisukari duniani

    Tupe siri ya hayo mafanikio mujydebubyz, ni masharti gani unayazungumzia? maana kutoka ishirini naa mpaka 2 inaonesha mafanikio makubwa sana, ilikuchukua mda gani kufikia hayo mafanikio?
  7. mwampetele

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Prof. Lipumba akiri kumsaidia Rais Kikwete katika Uchaguzi 2010

    Tendwa yuko wapi? kama kweli anaipenda hii nchi anatakiwa atoe tamko dhidi ya CUF. Sidhani kama Lipumba aliitwa kwenye ule msikiti kama individual, na hata kama ni ivyo,aliambiwa kabisa kuwa theme ya mazungumzo yake iwe hali ya siasa nchini, which means alikua anaongea sio kama individual, but...
  8. mwampetele

    JamiiForums Tanzania Livingstone lusinde alipaswa kufungwa---ripoti yamtaja kuwa hafai kuwa mwanasiasa

    yeye mwenyewe kakili kwenye mkutano wa wabunge wa ccm kua sasaivi ameanza kupona ila before alikua hayuko sawa.
Back
Top Bottom