kwakweli hata kama mambo yamebana sana na walio wengi hawajui course work zao hadi leo ijumaa na jumatatu Ue ianze,ni wakati ambapo kila mmoja anayeguswa kuomba kwaajili ya jambo hili afanye hivyo,maana kuna hali fulan ya sintofahamu iliyotanda hapa. But, ninachoamin Mungu atabaki kuwa Mungu.
ASANTE SANA WAZIRI WETU KWA KUDADAVUA MATOKEO HAYO.
NAomba nirudie kauli yangu niliyo wahi kuituma kuwa 'Mfumo wa elimu ya sekondari unategemea elimu ya msingi'
Sasa kama elimu ya msingi ni hoi, unategemea nini kwa elimuya sekondari? Utaratibu wa kuwatahini wanafunzi wa darasa lasaba kwa...
Kwa level ya kidato cha pili kama mwanafunzi alikuwa ameandaliwa vizuri kuanzia shule ya msingi wastani wa alama 30 ni mdogo sana.Tatizo ni kwamba mfumo hasa wa KUWATAHINI WANAFUNZI wa shule ya msingi ni mbovu sana sana sana,huwezi ukampa mwanafunzi hesabu akokotoe halafu umpe na majawabu ya...
Kama Waziri anaona kuna umuhimu wa kubadili mtaala,anyway siyo mbaya sana. Lakini wadau wa elimu mfano WALIMU washirikishwe kwenye mabadiliko hayo ili nao watoe maoni yao.
WALIMU WANA UMUHIMU. FIKIRIA WEWE UMETOKA WAPI!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.