Hello wanaJamiiForums,
Bila kupoteza muda twende kwenye point ya kichwa hapo juu. Nitaeleza short jinsi ya ku access kozi yoyote kutoka UDEMY for free bila payment yeyote.
Watu wengi wamekua wakitamani kusoma kozi nyingi kupitia online academy nyingi(mfano udemy) lakin tatizo ni kulipia kila...
Kwa wale ambao simu zao n rooted basi termux au kali nethunter sio chaguo sahihi kwako..kuna machine mpya ambayo n zaid hacking machine..na sio emulator kama termux na hizi nyenginezo..inaitwa ANDRAX ..kama ukipata mda ichek hata google uone vile ilivyo..
Ahsantn
Kwa wale ambao simu zao n rooted basi termux au kali nethunter sio chaguo sahihi kwako..kuna machine mpya ambayo n zaid hacking machine..na sio emulator kama termux Nzovwe nyenginezo..inaitwa ANDRAX ..kama ukipata mda ichek hata google uone vile ilivyo..
Ahsantn
[emoji81][emoji81][emoji81]hayo ni maenyesho tu ya kombat karate jkt..usidhani watu jkt ndio wanafundishwa maswala hayo mzee..jkt is more than flesh...alafu tatizo lenu raia mna siasa nyingi kuliko vitendo #
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.