Recent content by Mwambamoto

  1. M

    Hivi nani kaliazisha hili la watumishi kuombea vitu na watu kuondoka navyo kwamba vina upako?

    hii kweli inashangaza jinsi fikra za watu wengi zimekuwa finyu! katika siku za hivi karibuni nimebahatika kuona watu wamebebelea makaratasi ya maombi kwenye daladala, si mbaya mtu kusali, lakini kilichonishangaza ni ile title ya maombi yenyewe "MAOMBI YA KUUKANA UKOO NA KUWA MTOTO WA YESU" daaah...
  2. M

    Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

    Halfu kuna yule mjaruo aliejipatia mjapani sijui yuko wapi sasa hivi!
  3. M

    Tuliosoma Musoma Tech: Nimepamiss 'SELENA'

    Daaaah! mmenikumbusha musoma tech! nilikuwepo kipindi cha mgomo uliomtoa preamble kwa kututetea na kusema ukweli halafu wakatuletea Muha mmoja hivi msanii balaaa! sisahau mutex upande wa pili wa uwanja tulikua tunakaa kuangalia madem wanaopita!
  4. M

    Atlas Primary School - Madale, Dar

    Daaah! kwa kweli kwa Aziz Alli na Madale kwa mtoto ni mbali sanaa! mbona hapo kuna shule nyingi tu nzuri ziko karibu kama Holy Cross ipo Mtoni Kijichi!
  5. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    hivi hili tangazo lina ukweli au ni la uongo tu lakutengeneza? wadau naomba mnisaidie!
  6. M

    DAWASCO kulipisha pesa kwa kisima ulichochimba mwenyewe ni sawa?

    Vibali vyote vya kutumia maji ya chanzo flan (kisima, mto, ziwa etc) hutolewa na BONDE kwa hiyo unatakiwa kwanza upate kibali cha kutumia hicho kisima (Water User Permit) kutoka Bonde lakini aliye na mamlaka ya kusupply maji DSM ni DAWASCO kwa hiyo ingekuwa unatumia mwenyewe nyumban kwako...
  7. M

    LHRC kuipinga 15% ya Bodi ya mikopo Mahakamani

    Hata vyama vya wafanyakazi vimelala sana! nnachoona angalau kidogo kiko active ni CWT pekee vingine hivi vipo tu kufurahia makato ya uanachama yanayokatwa kwenye mishahara ya wanachama wao na havina mchango wowte! mm pia nipo mstari wa mbele kama ikiwezekana ntachangia hata kidogo gharama za...
  8. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hongera sana kwa kuwa kwenye huo wito na uutumike kweli sio nusu nusu!
  9. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni mwalimu niko halimashauri ya wilaya ya Igunga-Tabora ninahitaji mwalimu idara ya elimu MSINGI wa kubadilishana nae ambaye yuko Arusha DC, Meru DC au Arusha jiji- Mkoa wa Arusha hata Monduli sio mbaya! naomba tuwasiliane kwa no. 0753 467 045 au 0686 008 950 ili tuanze hatua za awali za...
Back
Top Bottom