Watanzania hatuna hata cha angalau ni bora tungepata uongozi wa kuendelea kutumaliza kuuza mashirika ya umma,wanyama,madini,usafiri tukose hata bajaj ya serikali wabaki kutesa wanasiasa na mashangingi yao.Mwisho tuuzwe na sisi ndio watu tungefurahi.Mtu huna hata nguo unatembea matako nje,unapewa...