Recent content by mwambageu

  1. mwambageu

    Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, F. Mramba. Amteua Dkt. Mwinuka kukaimu

    IPO siku magufuli atajitumbua naye mwenyewe,,hizi tumbuatumbua zake zimekuwa kero,,,yeye mbona anafanya maamuzi YAKE binafsi ambayo yanaliyumbisha taifa na watu wanamvumilia ,,asitafute umaarufu kwa kuwaonea waliochini
  2. mwambageu

    Kama binadamu wote wataenda Peponi au Jehanamu vipi kuhusu wanyama wengine?

    Kwa akili yako unaweza usiamini,lakini kwa mungu hilo ni jambo dogo sana
  3. mwambageu

    Kama binadamu wote wataenda Peponi au Jehanamu vipi kuhusu wanyama wengine?

    Mwadamu anaruhusiwa kumuuwa kwa ajili ya kuuza nyama apate fedha,nyama ya kula na nahitaji mengineyo,ila hairuhusiwi kumuua mnyama bila sababu ya msingi labda awe hatari kwa uhai wako,mharibifu WA mazao au muenezaji WA magonjwa,,ama mnyama huweza kumuwinda mnyama mwingine kwa ajili ya kula...
  4. mwambageu

    Kama binadamu wote wataenda Peponi au Jehanamu vipi kuhusu wanyama wengine?

    Wanyama wataulizwa ili kama kuna binadamu aliye mtendea mnyama uovu mfano kumuua bila sababu ya kumla,kumuuza,au mnyama mharibifu,au kuna mnyama aliyemuonea mnyama mwingine mungu atapitisha hukumu na kugawa haki kwa kila aliyeonewa
  5. mwambageu

    Kama binadamu wote wataenda Peponi au Jehanamu vipi kuhusu wanyama wengine?

    Wanyama wataulizwa ili kama kuna binadamu aliye mtendea mnyama uovu mfano kumuua bila sababu ya kumla,kumuuza,au mnyama mharibifu,au kuna mnyama aliyemuonea mnyama mwingine mungu atapitisha hukumu na kugawa haki kwa kila aliyeonewa
  6. mwambageu

    Kama binadamu wote wataenda Peponi au Jehanamu vipi kuhusu wanyama wengine?

    Acha dhiki ya kufikiri,,,kwani si wameumbwa kutokana na hayo mavumbi hayo hayo ??? itashindwaje aliyewaumba kuwageuza mavumbi????
  7. mwambageu

    Kama binadamu wote wataenda Peponi au Jehanamu vipi kuhusu wanyama wengine?

    Wanyama na ndege na mimea wameandaliwa kwa ajili ya kutuwesha sisi tuishi katika hii dunia ,mfano mimea tunapata chakula na mavazi,wanyama tunapata chakula ,mavazi na usafiri,,
  8. mwambageu

    Mzee Yusufu kumtema mkewe baada ya kugoma kuacha kuimba taarabu kama alivyofanya

    We nadhani mungu lbilisi anayewafundisha wazungu kutengeneza vitu vya muda hapa duniani na wakifa wanaviacha hapa hapa duniani na havitawasaidia huko mbiguni
  9. mwambageu

    Mzee Yusufu kumtema mkewe baada ya kugoma kuacha kuimba taarabu kama alivyofanya

    Kwa hiyo mungu wako wewe anapenda muziki wa taarabu uliojaa masimango na matusi kumbee,,una mungu mlevi na muhuni wewe
  10. mwambageu

    Arusha: Yaliyojiri kutoka mahakamani, rufaa ya Mbunge wa Arusha G. Lema, anyimwa dhamana

    Unatembea uchi kwa lipi hasa,,Acha ulimbukeni wako wewe
  11. mwambageu

    Ni Rais Gani wa Tanzania aliyepoteza mvuto na kuchokwa na Watanzania mapema sana?

    Maswali yako hayana mpangilio mzuri ili MTU akijibu uelewe kajibu kipengele gani kwani majibu yako ya kuchagua yanafanana
  12. mwambageu

    MOSHI: Polisi wanne mbaroni kwa kumvua nguo mchungaji wa kanisa

    Kwanini wachungaji/mapadre wanakumbwa sana na mikasa kama hii????
Back
Top Bottom