Yamezidiwa mpaka yanaomba msaada NEC. Maana kwenye mikutano yao ya kampeni hayana jipya zaidi ya kumshambula KOMANDO NYALANDU. wabongo sasa hivi wanajielewa. NYOMI kwenye kampeni za UKAWA. zimewatia HOFU maana mkulu na serikali take kachambuliwa kabaki mweupee.
Nasema hivii !! Kama MAGU atamteua MURO uteuzi wowote Siku hiyo hiyo nahama CCM. Hatuwezi kuteuliwa watu wa ajabu ajabu kama MURO. Yaani baada ya kuachwa na YANGA ndo anajifanya kada mzurii. Alikuwa wapi siku zote. Njaa imemshika ndo anajifanya muoneaji was CHAMA. NO aende huko huko kwenye...
Mimi bado sielewi kwa mini wakenya bado huko ughaibuni wanatangaza kwamba mlimankiimanjaro upon kwao. Kwa nini serikali yetu haiutagazi kisawasawa kwamba huu mlima upo kwetu ? Watalii wanapokuja kuuona au kitaka kupanda mlima wanatua Kenya badae ndo wanaambiw mlima upo Tanzania mpaka wake...
Tatizo letu wa Lumumba hua hatupendi kuambiwa ukweli. DANGOTE yupo sahihi haikua na haja ya kumtafutia majibu mareefu kinachotakiwa mkulu atafakari kauli ya DANGOTE. Kuna wawekezaji hawpendi kusema hadharani wanaongelea chini chini mwisho wa siku wanasepa na wanawaambia na wenzao kua BONGO sio issue
Jamani mi naomba kujua UMRI wa pole pole. Maana nikimtazama hua ananchanganya coz sjui no mzee au kijana ?? Halafu ni kama anatumia dozi flani hivi coz ukimuangalia kwa makini afya take ni kama wale watu anaoishi kwa matumaini.
Sawa JPM kasikia. Je akitaka atubu kosa lake lililopelekea yeye kufungwa maisha ataweza? Maana anaomba msamaha bila kuweka wazi kosa lake wala kulijutia kama ikikua ni shetani au ibilisi. Kajieleza meengi bado hajasema kosa lake.
Alitaka watanzania wamsaidie kumuonyesha aliemtolea nape bastola. Kaonyeshwa picha akiwa nae yeye na bashite mbona **** imemshuka mpaka leo hajajibu chochote wala kukanusha halafu anasema eti mjadala was KAMANDA LISU ufungwe hivi huyu IGP yupo sawa kweli???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.