Dogo mtafungua shule lini maana naona Bado mpo likizo, Yani upate Mme ndo uage humu, Bado kumbe una akili za kitoto, Bado unavalishwa nepi kumbe, watu ni maboss na ndoa zao wamo humu mpaka mawaziri hadi rais yumo humu wewe ni nani usiwemo humu eti kisa ndoa, kwani ndoa ndo nini wewe, acha mambo...
Huo msambwanda ukiondoka kabla hujaula utakuja kujilaumu Bure, utumie ila usiupe mimba, peleka moto kabla mke wako ajashtuka akautimua, kula Tako Hilo kula futa mzee, kitamu kimejileta chenyewe unakiachaje Kwa mfano
Kwa waislam mtoto akisha balehe na kuvunja ungo, ni haki yake kuoa au kuolewa, ole wako mzazi umkataze kuoa, dhambi zake zote utazibeba wewe, mzazi.
Na iwapo likimpata la kumpata Kwa kumzuia kuoa au uharibifu au mabaya atakayofanya Kwa kumzuia kuoa ni juu yako mzazi na utambebea madhambi yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.