Recent content by Mwamapinduzi halisi

  1. Mwamapinduzi halisi

    NATAFUTA SOKO LA NANASI

    Tunajaribu kiongozi....bado tunajitafuta
  2. Mwamapinduzi halisi

    NATAFUTA SOKO LA NANASI

    Wadau, nimeanzisha shamba la nanasi heka 5, three years ago, maeneo ya Misigi( 17 Km from Chalinze). Sasa lina maximum production. Changamoto yangu ni soko. Nahitaji masoko ya Arusha, Moshi, Zanzibar na Kenya, ndio nasikia bei ni nzuri. Haya masoko ya karibu nayapata, ila bei, wananilalia sana...
  3. Mwamapinduzi halisi

    Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

    Any connection na hawa wakenya. Mimi pia nataka wanisaidie
  4. Mwamapinduzi halisi

    Mtaalamu wa usahauri kuhusu mapapai ya kisasa

    Ukimpata mtaalamu na mimi nistue
  5. Mwamapinduzi halisi

    Bei ya alizeti kwa gunia la debe 7 ni sh ngapi

    Jamani kimya sana ni thread
Back
Top Bottom