Hello, Habari,
Natafuta kazi ambayo ninaweza kuifanya kwa malipo yeyote kadri ambavyo tutakubaliana na muajiri kulingana na ratiba yangu.
Umri: Miaka 27
Elimu Diploma ya Ualimu wa Sekondari somo la Baiolojia.
Jinsia: Me.
Uzoefu: Miaka 3 Mwalimu wa shirika la Compassion kazi ambayo bado...
Habarini wadau wa JF, nimeamua kuanzisha uzi huu kwasababu nimetafuta data zote kuhusu Ngamia nimekosa. Nataka nifuge Ngamia, mmoja au wawili wananitosha.
Je, nina wapata wapi? Bei ya ngamia ambaye bado mdogo ni bei gani? Ngamia mkubwa bei gani? Nizingatie nini wakati wa kumfuga Ngamia?
Kwa...
Habarini wana Jf.
Shamba langu la Mifugo lina Mbuzi, kondoo, kuku, kanga, bata, Mbwa wa kisasa, njiwa na ngombe wawili ambao wanafugwa wakiwa ndani muda wote.
Lengo langu ni kuwa na wanyama wa kufugwa aina zote kwenye shamba langu, ili kuepuka magonjwa, wanyama wote wanafugwa pasipo...
Habari wana Jf.Niliwahi kuwaletea uzi wa ufugaji wa mbuzi wa kienyeji ,namshukuru Mungu nilifanikiwa kuongeza mradi wa Mbuzi shambani kwangu, mdogo mdogo napambana!.Binafsi wanyama ni maisha yangu,nawapenda sana na ndiyo Kigezo cha mimi kujikita kwenye miradi ya ufugaji.Tuachane na hayo!
Lengo...
Habari wana Jf.Nahitaji kufungua Zoo ya Wanyama pori kwa ajiri ya utalii.Nahitaji kuanza na Wanyama wachache kama vile Kobe,nyoka,swala,ndege na nitaongeza wanyama kadri biashara yangu itakavyokuwa ikikuwa.Nahitaji ushauri kutoka kwa yeyote mwenye uzoefu na biashara hii ya Zoo au Bustani ya...
Nimecheka sana baada ya kuona uzi huu.Hauko kwenye ndoa halafu unasema walioko kwenye ndoa hawana furaha!!That is assumption.
Niko kwenye Ndoa,mimi na familia yangu tuna furaha.Nimeridhika na mke wangu,natafuta pesa kwa ajili ya familia yangu,mke wangu nampanulia biashara mbalimbali huku na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.