Recent content by Mwalimu Nyumba

  1. M

    Wanaume wanne wakamatwa Kenya kwa kusafirisha Malkia wa Siafu hai. 5,000 wakutwa kwenye mirija

    Huo Vietnamese kaingia mikono mibaya, tutegemee sasa yule bidada kubadilishwa na huyu wa kwao
  2. M

    ACT Wazalendo: Serikali imuachie huru Mwenyekiti wa Chama cha Walimu Wasio na Ajira, Joseph Kaheza

    Sasa hivi Tanzania Kila mtu anatoa tamko, Kila mtu anaitaka serikali ifanye hivi, ifanye vile yaani acha kabisa
  3. M

    Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

    Tutegemee kuona Rais akikonda au hata kufa Kwa njaa, Kamteua Janabi awe mshauri wa mambo ya Afya, soon atazuiliwa kula na kupata juu maana kutasababisha moyo utanuke
  4. M

    LGE2024 Dodoma: Mwenyekiti CHADEMA akiwasha, apora daftari la wapiga kura baada ya kubaini kuna rafu

    Wewe jamaa Unatumia Nini kufikiri, aliekwambia Mimi ni CCM na Mimi ni mtekaji ni nani?
  5. M

    DOKEZO Baadhi ya Watoza Ushuru wa magari makubwa Mpanda sio waaminifu, hawatoi risiti ila fedha wanapokea

    Hutasikia dereva akilalamika maana hapo dereva anakua anabarki na 20,000 katika Ile 50,000 Wanaolalamika ni hawa waombea wanaodhani kua MaPilato wa Halmashauri wanafaidika sana
  6. M

    LGE2024 Dodoma: Mwenyekiti CHADEMA akiwasha, apora daftari la wapiga kura baada ya kubaini kuna rafu

    Mwenyewe anajiona ana akili sana, huu unaweza ukawa ni ushahidi tosha wa yeye kusota Lupango
  7. M

    LGE2024 Rufaa za CHADEMA Simiyu zagonga mwamba. Wagombea 200 waenguliwa

    Huku chama Kila siku ni malalamiko tu, hakuna siku itapita bila chama hiki kulalamika
  8. M

    Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

    Nilienda Kwa rafiki angu (Jina kapuni) Ameleta ugali mezani tule nae kama tulivyozoea, Mama ake akauchukua kwenda kuutupa eti tutaumwa matumbo kisa last week pia walikula ugali. Hapo ndio nikaamini TRC watu wanalipwa vizuri
  9. M

    Aliyekuwa Mkurugenzi wa Bunda na wengine 11 Wafikishwa Mahakamani kwa kesi ya Uhujumu Uchumi

    Mgao haukuzingatia cheo, inaonekana Kuna waliotegemea kupata chochote kitu kwenye mgao ila wakanyimwa au walipewa tofauti na makubaliano
  10. M

    Walimu wanaoagiza Wanafunzi kuchota maji sehemu wanapotupa taka Ruvuma, waache hii tabia sio salama kiafya

    Wanajifanya wajuaji sana wa kukosa, wakipewa Madaraka wanatulia kimya hakuna Cha kulalamika Wala kuripoti changamoto
  11. M

    Msumbiji: Waandamanaji wachoma Moto kituo cha Polisi, Majengo ya Maafisa na Ofisi za Frelimo

    Wakishughulikiwa ipasavyo wataanza kutia huruma ili waonekane wanaonewa
  12. M

    PreGE2025 CHADEMA: Tutafungua kesi dhidi ya Sisty Nyahoza na Awadh Haji juu ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

    Leo ndio mara yangu ya kwanza kusikia kamanda akilalamika na kupiga Kelele "MNANIUA MNANIUA" Kipigo kinachomfanya kamanda Alie Kwa kuogopa kufa sio kipigo Cha kawaida
  13. M

    Mwandishi wa Habari, Kazimbaya Makwega ashikiliwa na Polisi, asafirishwa kutoka Mwanza hadi Dodoma

    Nchi Ina uhuru sana wa kuzungumza, ila sio uhuru wa kiwango mnachotaka ninyi.
Back
Top Bottom