Tutegemee kuona Rais akikonda au hata kufa Kwa njaa,
Kamteua Janabi awe mshauri wa mambo ya Afya, soon atazuiliwa kula na kupata juu maana kutasababisha moyo utanuke
Hutasikia dereva akilalamika maana hapo dereva anakua anabarki na 20,000 katika Ile 50,000
Wanaolalamika ni hawa waombea wanaodhani kua MaPilato wa Halmashauri wanafaidika sana
Nilienda Kwa rafiki angu (Jina kapuni)
Ameleta ugali mezani tule nae kama tulivyozoea, Mama ake akauchukua kwenda kuutupa eti tutaumwa matumbo kisa last week pia walikula ugali.
Hapo ndio nikaamini TRC watu wanalipwa vizuri
Leo ndio mara yangu ya kwanza kusikia kamanda akilalamika na kupiga Kelele "MNANIUA MNANIUA"
Kipigo kinachomfanya kamanda Alie Kwa kuogopa kufa sio kipigo Cha kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.