Recent content by Mwalimu Adolph Longino

  1. Mwalimu Adolph Longino

    Kongole CCM kwa kudhamiria kuhuisha Maktaba nchini

    Katika ilani yake mpya, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ahadi ya kujenga Maktaba ya Taifa mjini Dodoma na kuhuisha maktaba katika ngazi za mikoa na wilaya. Ibara ndogo ya V ya ilani hiyo inasema: Kwa hatua hii ya kimkakati, tunapenda kuipongeza serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt.Samia...
  2. Mwalimu Adolph Longino

    Kongole CCM kwa kudhamiria kuhuisha Maktaba nchini

    Katika ilani yake mpya, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ahadi ya kujenga Maktaba ya Taifa mjini Dodoma na kuhuisha maktaba katika ngazi za mikoa na wilaya. Ibara ndogo ya V ya ilani hiyo inasema: Kwa hatua hii ya kimkakati, tunapenda kuipongeza serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt.Samia...
  3. Mwalimu Adolph Longino

    CHADEMA Wajitafakari: Siasa za Kudandia hoja haziwajengi wala kujenga Taifa

    Katika historia ya vyama vya upinzani nchini Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimejipambanua kama sauti mbadala ya kisiasa. Hata hivyo, miaka ya hivi karibuni imeonesha mwelekeo unaotia shaka: chama hiki kimegeuka kuwa jukwaa la kila anayepinga serikali—bila kujali dhamira...
  4. Mwalimu Adolph Longino

    Kwanini Hospitali ya St. Benedict, Ndanda, Mtwara huuliza wateja dini zao?

    Ni huduma sahihi. Kwakuwa haujajibu basi niwe positive kudhani pengine Kanisa linafikiria kuanzisha catering service hivyo wanahitaji kujua dini za wateja wao ili kuona nguruwe wangapi waandaliwe kwa ratio ya Waislamu na Wakristo.
  5. Mwalimu Adolph Longino

    Kwanini Hospitali ya St. Benedict, Ndanda, Mtwara huuliza wateja dini zao?

    Sijatafsiri udini mkuu. Nashukuru kwa jibu lako. Je waonaje sensa ya nchi ikahusisha dini ili kusaidia kila mwenye lengo la kukusanya taarifa za kidemografia kwakuwa imeonekana hilo ni jambo muhimu.
  6. Mwalimu Adolph Longino

    Kwanini Hospitali ya St. Benedict, Ndanda, Mtwara huuliza wateja dini zao?

    Kwa hiyo unataka kusema kile kifanywacho na Magaidi wa Cabo Delgado kuwahoji watu dini zao ni sawa na wafanyacho Wabenediktini wa Ndanda.
  7. Mwalimu Adolph Longino

    Kwanini Hospitali ya St. Benedict, Ndanda, Mtwara huuliza wateja dini zao?

    Kujibu sio shida, ila unadhani hizo data za dini ni kwa matumizi gani mkuu? Nisaidie nifahamu.
  8. Mwalimu Adolph Longino

    Kwanini Hospitali ya St. Benedict, Ndanda, Mtwara huuliza wateja dini zao?

    Salaam wanajamvi! Sitaki kuwapotezea muda kwa kuwa nami sipendi kupoteza muda wangu, najielekeza moja kwa moja kwenye mada lengwa karibuni. Jana nilienda hospitali ya Rufaa ya Mt. Benedikto (St. Benedict, Ndanda, Mtwara) kwa ajili ya matibabu. Nakiri hii ni katika hospitali bora kabisa kwa...
  9. Mwalimu Adolph Longino

    SI KWELI LGE2024 CHADEMA wataka kila anayetaka kugombea nafasi ya uongozi Serikali za Mitaa achangie Tsh. 400,000

    Salaam wanajamvi! Bila kuleta porojo nawapeleka kwenye kiini cha bandiko langu mubashara! Katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na barua yenye saini ya Katibu Mkuu wa CHADEMA Bwn. John Mnyika kwenda kwa makatibu wa Kanda, CHADEMA, inayotoa maelekezo kwa makatibu wote kukusanya pesa za...
  10. Mwalimu Adolph Longino

    Ni huzuni kuu kwa Hamas na washirika wake na ni furaha kwa Israeli na washirika wake

    When Sinwar accepted leadership, he accepted inevitable martyrdom. That is the necessary quality any leader worth following must have.
  11. Mwalimu Adolph Longino

    Chadema hawakuogopa kuandamana bali Jeshi la Polisi Ndio linastahili Kusifiwa kwa kuwadhibiti Mapema!

    Nilitarajia BA-VICHAA wawe mstari wa mbele lakini wao wamekuwa askari wa nyuma ya Keyboard huku wakiwaachia wazee wapambane kivyao.
  12. Mwalimu Adolph Longino

    Masudi Kipanya bado yupo mitaa ya Ufipa

    Anayesema hivyo ni askari wa nyuma ya Keyboard 🤣
Back
Top Bottom