Wewe naye ni janga kubwa tu katika elimu! Hivi kwa akili zako unadhani GS haina walimu special kwa somo hilo? Watu waliosoma Political science kama somo la kufundishia unafikiri ni mahususi kwa somo gani?
Pamoja na kuwa ni makazi pia ya rais, alipaswa kuendesha vikao nje ya muda wa kazi! Rais ameendesha kikao cha chama ndani ya muda wa kazi jambo ambalo ni kosa
Respect is a double edged sword! Huwezi sema taasisi ya urais iheshimike wakati yenyewe haiheshimu watu, hiyo taasisi ndio bingwa wa uchochezi! Ukiheshimu utaheshimiwa otherwise dawa ya moto ni moto
Alichonisikitisha zaidi ni pale aliposema na mfe tu maana si hamtaki kufanya kazi. Nashauri awe anarudia kusikiliza alichosema ili atambue ni wapi alipokosea
Acheni ubishi wa kijinga, nilihudhuria mkutano huo, alichosema Mongela ndio hicho cha tani nane lkn wamefanikiwa kuvuna tani saba sawa na 93%,ndio ikawa turning point ya wananchi kuzomea
Siamini kama nimetoa kejeli hapo, kwani neno Mtukufu ni la kawaida na anaitwa na wengi tu tena hadharani na hawajawahi kushtakiwa wala kuhojiwa kwa kumuita Mtukufu lakini ukimuita dikteta uchwara ni balaa,unapelekwa kisutu kwa uchochezi
Amefika na kutoa hotuba ileile iliyozoeleka ya kutafuta umaarufu uchwara! Kwa namna hiyo hata akeshe anapiga kelele kuwa tumuombee mm binafsi sitakuwa na muda huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.