Wakuu natafuta soko la mashati meupe ya shule, ya mikono mirefu na mifupi. Nauza kwa bei ya kiwandani , kuanzia dozen 50. Nipo Dar. Kuna Size Small Medium Large, 38, 40,42 na 2, 3, 4 . Toa oda tufanye biashara
Ninauza jumla hata hivyo Mkuu. Pc moja kwa small ni tsh. 6,000 na kubwa kwa maana ya large ni tsh 8,000 kwa pc.
Na ninauza kuanzia dozen 5, yaani pc 60.
Wakuu poleni na majukumu.
Mimi ni mjasiriamali mdogo niliyejikita katika mradi wa ushonaji. Kimsingi huwa nauza mashati ya shule, nashona kwa oda kwenye shule zinazohitaji na kipindi cha msimu huwa nawauzia mawakala wa Kariakoo.
Kwa sasa nimeanza kushona mashati ya kike ya color combo...
Shamba linauzwa. Lipo eneo la Kiguza Mkuranga, Kilometa mbili kutoka barabara kuu. Linafaa kwa kilimo na makazi pia. Kwa anayehitaji tuwasiliane kwa 0717 030636
Kama anaweza kupata dereva wazuri anunue pikipiki aongezee kama laki nne anunue pikipiki 2. Aingie mkataba na dereva kwa miezi kumi awe anamletea 10,000 kila siku. Ikifika miezi hiyo pikipiki inakuwa ya dereva. hadi itakapofika miezi kumi atakuwa ameingiza pesa ya pikipiki mbili kwa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.