List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Sep 29, 2012
3,401
1,604
Tushirikiane tuweke orodha ndefu ya aina za viwanda vidogo ambavyo mtu anaweza kuanzisha katika jamii yake, mkoa wake au nchini kwa ujumla. Tuwe serious;

1. Toothpick industry
2. Take away plates industry
3. ...........
4. ...........

ONGEZEA MAWAZO YAKO, KILA MTU ATACHAGUA ANALOLIPENDA NA AKALITUMIE KATIKA JAMII YAKE


Posted by: SUPU YA MAWE
 
1. mobile toilets business
2. house flipping business
3. Renovate, Operate, Transfer..kuna watu uswazi wana nyumba zimechakaa, wanakusanya kodi kidogo mno, unaingia nao mkataba, una convert nyumba kulingana na soko, au unaipendezesha, unaifanya ya status flani, unakodisha kwa gharama kubwa kidogo, baada ya kupata Return on Investment na kupata faida, au baada muda mliokubaliana, unamrudishia nyumba yake.. Unaenda sehemu nyingine and you do the same,.
 
1. mobile toilets business
2. house flipping business
3. Renovate, Operate, Transfer..kuna watu uswazi wana nyumba zimechakaa, wanakusanya kodi kidogo mno, unaingia nao mkataba, una convert nyumba kulingana na soko, au unaipendezesha, unaifanya ya status flani, unakodisha kwa gharama kubwa kidogo, baada ya kupata Return on Investment na kupata faida, au baada muda mliokubaliana, unamrudishia nyumba yake.. Unaenda sehemu nyingine and you do the same,.


mkuu hapo kwenye red, utalizwa na wenye nyumba hakuna rangi utaacha ona
 
Boksi za pizza.watu wamefunguka kula pizza kiwanda kidogo cha boks pizza na nembo unawekewa.mf boston pizza.

solar power energy,watu hawana umeme kinatakiwa kiwanda kidogo cha kutengeneza umeme wa Jua kwa bei nafuu.ma engineering tunao.

nepi za watoto take a way,watoto wanakunya kila wakati kifunguliwe kiwanda kidogo cha kutengeneza nepi kwa bei nafuu.

kiwanda kidogo cha kitengeneza nafaka kwa ajiri ya mifugo,yani kiwanda kinatengeneza protein zote za mifugo na nembo full pakeg bag kwa bei nafuu.

Kwa dar kiwanda kidogo cha kutengeneza miguu ya Kuku na shingo zake.kwa sababu inalipa.


Swissme:
 
Mawazo mazuri ila mnaishia juu juu, kuna watu wanapesa wanaweza kushawishika kuinvest wakakosa nyama....ila thread nimeipenda.

Naona idea nyingi ni za uzalishaji,unajua ni ngumu sana kuwa na biashara kubwa kwa kufanya uchuuzi wa bidhaa za mwenzako. Utaishia tu kuwa mfanyabiashara wa kati,haya mambo ya kuigana kufungua bar,barber shop,guest house,boutique utaishia kuwa mchuuzi.

Kuna biashara kama ya fenicha, vifungashio, viungo vya chakula,pedi nk.

Niliona mshikaji mmoja Kenya anatengeneza maji ya mvua anauza. Nilipenda sana idea yake sijui kibongobongo watu kama wataielewa coz jamaa yupo mtaani bado hajakua kivile ila anauza sana.
 
Mawazo mazuri ila mnaishia juu juu, kuna watu wanapesa wanaweza kushawishika kuinvest wakakosa nyama....ila thread nimeipenda.

Naona idea nyingi ni za uzalishaji,unajua ni ngumu sana kuwa na biashara kubwa kwa kufanya uchuuzi wa bidhaa za mwenzako. Utaishia tu kuwa mfanyabiashara wa kati,haya mambo ya kuigana kufungua bar,barber shop,guest house,boutique utaishia kuwa mchuuzi.

Kuna biashara kama ya fenicha, vifungashio, viungo vya chakula,pedi nk.

Niliona mshikaji mmoja Kenya anatengeneza maji ya mvua anauza. Nilipenda sana idea yake sijui kibongobongo watu kama wataielewa coz jamaa yupo mtaani bado hajakua kivile ila anauza sana.
anayatengeneza vipi mkuu?

Hebu tupe ufafanuzi zaidi..
 
Back
Top Bottom