Hongera ila jifunze kutopenda pia maana utakuja kuumizwa ukijakupenda na ndipo utakunywa sumu maana hauyajui machungu yake .
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Naamini utakuwa na matatizo ya akili labda kama kuna daktari wa akili humu tujaribu kukupima mi ntakulipia gharama . Kama hujui muziki sio lazima kuongelea issue usioijua. Au unataka kufahamika ?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Wote mnaobishana kuhusu huyo jamaa mmekaa ndani majumbani kwenu hata mmoja wenu hayupo eneo la tukio na mtwara mnapasikia tuu siwezi kuwashangaa kwa 7bu mjinga hufanya anachokiambiwa bila kujua madhara yake mi naishi na wamakonde nawajua wana tabia gani so lisemwalo lipo kama halipo laja kila...
Tanzania nzima TBC 1 haionekani mpaka kwa satelite usije sema ni mtwara kwa 7bu ya badget unakosea ila kama umefanikiwa kuwa na king'amuzi umeona badgeti iko poa na wala sina tatizo nayo kama itafanikishwa kwa yaliyosemwa na waziri. Ila TBC kukatisha matangazo ni nchi nzima sio kusini pekee jarb...
Duh !!!!!!!! Ama kweli midomo zege kazi tunayooo jamaa anakosa vinono hivi hivi ila kama anafaa muonee huruma maana wa type hiyo tupo wengi sasa unadhani yeye atampata nani kama pesa haitachukua mkondo na akijua wanapojiuza ndio kwisha habari
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Ni muda wa kila mmoja wetu kuamka na kusimama kuitetea mali yake ili sote tuugawane umasikini huu sio wachache tuu ndio waufaidi kama ilivyokuwa kule kilwa
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.