Salam wakuu....natafuta kiwanja maeneo ya Kigamboni kuanzia Kibugumo, Gezaulole na Mwongozo ila kiwe njiani na isiwe ndani ndani. I mean isizidi 2 km kutoka barabara kuu. Sio ndani.
Ukubwa SQM kuanzia 800.
Offer yangu ni 3mln hadi 5mln kutegemea na eneo.
Mimi sio dalali ila ni muhitaji mwenyewe
Salam Wakuu,
Kwa yeyote mwenye ujuzi wa ku-recover data zilizofutwa kwenye LAPTOP naomba anicheki kwa 0784132525. Nilifuta taarifa mwezi FEBRUARY 2020 kuhamishia kwenye PC nyingine na bahati mbaya hio PC imeibwa juzi
Ukifanikiwa utaniambia kiasi cha kukulipa
Watahifadhi wapi wakati hifadhi zimejaa? Hakuna watumiaji baada ya lockdown, magari yame-pack, viwanda vimefungwa n.k. Lakini pia visima vinaendelea kuzalisha mafuta kwa sababu gharama za kusimamisha uzalisha wa mafuta ni kubwa kuliko kuendelea kuzalisha.
Chanzo cha habari hapo ni gazeti la...
Salamu wakuu.
Kwa yeyote mwenye ujuzi wa kutengeneza/kuandika software/program ya kuchakata matokeo ya mitihani kwa idadi ya wanafunzi kuanzia 15000 hadi 25000 ninaihitaji. Mahitaji na vitu ninavyovitaka kujumuishwa katika software hiyo tunaweza kukaa tukakubaliana kwa pamoja au ukaja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.