kaka utafiti wako una ukwel ndan yake, coz hata jana wabunge walipokuwa wakichagua wajumbe wa sadc, nligundua hata lugha ya kigen ilikuwa haipandi kwa baadh ya wabunge.
sio kila mla cha mwenzie na chake huliwa, unaweza kula cha mwenzio na chako kisiliwe, kwan inategemeana na hicho chako kina akili gan ya kufikiria. umeisoma hyo hata kimya kimya.
kaka hcho kitu hakiwez kukupeleka dunia nyingine kama unavyodhan eti
kitakupunguzia stres, zaidi yate utajkuta unaongeza matatizo mara 2 ya
yale uliyo kuwa nayo. hebu huyo aliye kushaur mwangalie yupo ktk hali
gan kama sio anackitisha tu.
mi nadhan hakuna uhusiano kati ya uwezo wa kufaulu wa mwanafunz na kufanywa kwa migomo. hata hvyo kinacho jadiliwa ni kushukwa kwa elimu ktk shule za sekondari na sio vyuon. kwa hyo sababu hyo haina mashiko.
ni kwel huko ni kuchezea pesa za walipa kodi, kwan nmegundua kitu kuwa hakuna uhusiano kat ya uwezo wa kufikiri na kuwa kiongozi, ndio maana mambo haya yanatokea. mi nadhan tubadlike coz nothing u can do without confidence.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.