Recent content by Mwakinga

  1. M

    JamiiForums Tanzania For JamiiForums Mobile users

    MOBILE[/COLOR]
  2. M

    JamiiForums Tanzania Je, ukivamiwa na nyuki ufanyeje kujiokoa?

    Kujiokoa na nyuki hatua ya kwanza funika uso wako , kwa sababu nyuki sehemu ya kwanza anataka kugonga uso wako , ya pili lala chini kifudifudi . Hii ya kulala chini iliniokoa na kundi kubwa la nyuki na nililala chini ya kamti kadogo , nao wakajiwekea makazi yao hapo ilikuwa mida ya jioni...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nikiacha Pikipiki kwa muda mrefu bila kuiwasha itapata shida?

    Iwashe kwanza na baada ya kuunguruma kwa muda mfupi ifunge mafuta , lakini uiache ikiunguruma mpaka mafuta yaishe kwenye kabureta na itazima , unafanya hivyo kwa sababu mafuta yakiwapo kwenye kabureta yatasababisha jet za mafuta kuziba. Baada ya hapo fungua terminal ya -ve ya battery ya pikipiki...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kabla hujabadilisha automatic gearbox ya gari lako soma hapa

    Ninakuaminia jibu maana kausafiri kangu hakajasumbua tena
  5. M

    JamiiForums Tanzania Siyo kila tatizo kwenye gari ni la kulichukulia kama lilivyo (ifahamu limp mode/failsafe mode)

    Ushuhuda, JituMirabaMinne kafanikiwa kunirekebishia gari langu lilikuwa linakunywa mafuta na mimi sikujua tatizo ni nini. Nilipeleka kwake Jmosi akalicheck ikaonekana sensor moja ina tatizo . Baada ya kuweka nyingine , kwa kweli gari langu sasa linanusa tu mafuta . Ahsante sana fundi.
  6. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hivi kama mteja wa TANESCO kapata nguzo kwa utaratibu wa TANESCO na kalipia , inakuwaje watakaotumia hiyo nguzo wawe katika mfumo wa umeme wa REA?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Noah inauzwa 7.5mil

    Je ni 4WD
Back
Top Bottom