BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,644
- 11,978
ina maana nchi hii au humu jf hamna mtu mwenye mshahara =>7.5m ???
Wapo ila wengi wanaagiza wenyewe kutoka nje!
ina maana nchi hii au humu jf hamna mtu mwenye mshahara =>7.5m ???
Wapo ila wengi wanaagiza wenyewe kutoka nje!
Haijashuka Bei?
acha dharau wewe, kama anataka kujazia.?
haijagongwa sehemu yoyote?? kuna jamaa yangu alikuwa anataka.
Haijashuka Bei?
weka hadharani matatizo yake
Mkuu yule mnunuzi wa hapo morogoro kaingia Chaka simpati maana nilitaka aje hapo aichekiMkuu, haina tatizo ndio maana unaruhusiwa kuja na fundi wako kuja kukagua na kufanya testing yoyote
Mkuu yule mnunuzi wa hapo morogoro kaingia Chaka simpati maana nilitaka aje hapo aicheki
Ok. .yule mteja naona kakimbia mkuu ngj tucheki wenginePowa mkuu, then gari ipo Dar kwa sasa sio Morogoro tena....
Hao wanakuwaga watoto wadogo nishawashtukia mkuu...sema ndy tuko nao humuTatizo kubwa la hapa ni kudharauliana kwa sababu hatujuani wala kuonana kwa hiyo kila mwenye bundle anajionea Sawa tu kujibu anavyojisikia.
Jukwaa limekosa sana nidhamu mpaka najiuliza moderators wanafanyaga kazi gani Kama wanaonaga haya mambo?
Hao wanakuwaga watoto wadogo nishawashtukia mkuu...sema ndy tuko nao humu
Acha fix wewe kwa ajila ipi uliyonayo upate mshahara wa amount hiyo kwa mwezi?