Recent content by Mwakapicha

  1. M

    Natamani kusikia kauli na utendaji wa Magufuli kama kweli anaamini katika haki

    Ni kweli inauma sana, ilikuwa sio rahisi kupona kutokana na shoka alilopigwa upande wa nyuma ya shingo ambopo ni sehemu iliyo na mishipa mingi ya fahamu, so ni mauaji yaliyopangwa.
  2. M

    Natamani kusikia kauli na utendaji wa Magufuli kama kweli anaamini katika haki

    Amini usiamini ukweli ndio huo, tukio limetokea mchana na ni hapa mjini katoro kama ulishafika, kituo cha polisi kipo jirani sana, hadi sasa hakuna aliyekamatwa kwa tukio hilo.
  3. M

    Natamani kusikia kauli na utendaji wa Magufuli kama kweli anaamini katika haki

    Sio rahisi kama mnavyodhani bcz umbali wa eneo la tukio na kituo cha polisi haizidi km 1 but hakuna hata polisi mmoja aliyethubutu kusogea pia kapelekwa hospitali too late almost 4 hrs baada ya tukio, inauma sana kwa sisi tulioko huku geita.
  4. M

    TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

    Huu ni ukatili wa hali ya juu sana, tuzidi kuomba kwa Mungu pawepo na maridhiano ya amani, bcz verified detail, aliyepo juu ni Mtu wa Visasi na amepromis kupoteza wengi, so huu ni utangulizi tu, picha yenyewe bado.
  5. M

    Lowassa will never win says South Africa

    wako sahihi, tukijisahau kwenda na kalamu zetu pamoja na kukunja karatasi kwa nje, Watashinda, bcz karatasi hizo za kura zimetengenezwa south, kwa advanced technology.
  6. M

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Namna ulivyoandika, na ikiwa kweli yametoka ktk sakafu ya moyo wako, YAMESIKIWA na Muumba, Nimependa, Huu ndio utaifa kwanza siasa baadae.
  7. M

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Hata kama nguvu za giza zimelifunika taifa, Haupaswi kukata tamaa, keep on praying bcz God is greater than anything.
  8. M

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Thanx 4 notification. Inatisha Sana, yatupasa kuomba rehema kwa Muumba, yamkini atuepushe na hayo bcz yeye ni mwingi wa rehema na anatuwazia mawazo ya amani. Sisi sote ni ndugu, poleni sana kwa tukio hili.
  9. M

    NEC: Idadi ya Wapiga Kura bara ni 22,751,292 na Zanzibar ni 503,193

    Ndio maana wanajigamba majukwaani kuwa watashinda kwa kishindo, Ona sasa Mungu Kawaumbua, kumbe wana kura mln 6 za kwao, hiki chama kina uzoefu wa kupora haki za watanzania kwa muda mrefu sana, hawaoni shida kuiba haki ya watanzania kumchagua wanae mtaka. Naona harakati za kumtoa mkoloni...
  10. M

    Serikali itueleze sasa alipo Mkuu wa Majeshi, tuna haki kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya katiba ya nchi

    Malafyale Ulekogo? Tukogula Kukaja Nkamu. Naota ndoto kama nachek movie hivi mabaka yanatawala baada ya 25. badala ya ukawa.
  11. M

    Mahakama ya mafisadi, kesi namba moja itafunguliwa Richmond

    Kesi ya pili itakuwa ni Balali na mke wake,, Awe Hai Au Maiti atasakwa popote, Ya Tatu Bring Back Our General.
  12. M

    Ratiba ya mgombea urais CHADEMA, Edward Lowassa, Majimbo ya Mkoa wa Mbeya

    Ipinda Ni Sehemu Ya Kyela Ni Centre Inayokua Kwa Kasi, Inapatikana Njia Ya Kuelekea Matema Beach, Au Masoko Tukuyu( Rungwe) Ni Vyema Kufika Bcz Population Inaruhusu Ushindi.
  13. M

    CCM inang'olewa na wakati na sio UKAWA wala Lowassa

    Fikiri Kwa Weledi, Kwanini Ridh K. Tajiri, Je Wameshirikiana Na Lowasa? Acha Kukaririshwa Na Mzee Wa Ndovu Je, Vip Balali Alizikwa Na Lowasa?
Back
Top Bottom