In this simple paper I will discuss the foundation of reformation and you are supposed to reflect this into political situation.The word reformation historically began during 16th century, movement which began with the effort to reform the church. This gained the momentum following the...
Nduguzangu walimu wenzangu. kama mitihani waliyo feli wanafunzi anapewa mwalimu aifanye ili kupima VALIDITY AND RELIABILITY na akifeli tuna conclude kuwa mitihani ilikuwa invalid and not reliable. Tujiulize kwa ujumla wetu watanzania wote Tanzania miaka hamsini iliyopita uchumi wetu ulikuwa sawa...
Daaa! awa polisi jamani, hivi walizaliwa na mwanamke kama binadamu wengine au.? Nashindwa kupata picha kwani mambo yao wanafanya kazi kama vile misukule, bosi akisema hakuna kuhoji au kutumia akili.
Ndugu wana jf. Kulingana na vurugu cha machinga zilozo tokea, Mwanza, Mbeya na sasa Iringa ninajiuliza maswali mengi lakini kubwa ni je machinga hawa wangekuwa na mabomu wangechoma matairi barabarani ya kuyalipuwa mabom? Wangekuwa na Bunduki wangerusha mawe badala ya risasi. Kwanini viongozi...
Ndugu wana jf. Kulingana na vurugu za machinga zilozo tokea, Tunisia. Mwanza, Mbeya na sasa Iringa ninajiuliza maswali mengi lakini kubwa ni je machinga hawa wangekuwa na mabomu wangechoma matairi barabarani badala ya kuyalipuwa mabom? Wangekuwa na Bunduki wangerusha mawe badala ya risasi...
Walimu wa Tanzania sio waoga tofauti kati ya walimu wa kenya na Tanzania ni moja kubwa. Chama cha walimu kenya kinaweza kuwalipa walimu wote mishahara na posho zao zaidi ya mwaka wanapokuwa kwenye mgomo. Hivyo CWT kingekuwa kinaweza kuwalipa walimu mishahala pindi wanapokuwa kwenye mgomo mbona...
Bungeni is a very difficult ground to play in but CHADEMA is manageing to get a fantastic result kwa hoja hizo Ndugai na Makinda hawachoki kwenye rufaa.
Tanzani wizi, uzembe, na ubinafsi kuweka maslai binafsi mbele mpaka lini. Hapa awa jama ishu nikwamba waliweka maslai yao mbele watu wananunua 26 worn out motor vehicles kwa $809.3 million alafu bandalini yameingia bila kukaguliwa na pesa za kuyatengeneza.! Daa we need reformation.
Mungu wawape ujasili na imani ya maisha mazuri wale wote waliofeli kidato cha nne. Jamani mungu yupo watanzania tusikate tamaa ya maisha, tuzidi kumuomba Mungu atufungulie milango mingine ya mafanikio, atupatie nulu katika giza la matokeo haya, atushike mkono na kutuinua. By Mwl Mwakajila k.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.