Recent content by mwakaboy

  1. mwakaboy

    Kiama: Uhakiki wa Mali na Wanachama wa CCM waja

    Zidumu fikra za mwenyekiti.....
  2. mwakaboy

    Mchungaji Anthony Lusekelo 'Mzee wa Upako' awaombea kifo waandishi wa habari

    Nausubiri huo mwezi kwa hamu nione baba mchungaji anavyoanzisha rasmi biashara yake mpya ya gongo..
  3. mwakaboy

    Mtukanaji wa mtandaoni, Shilole Kiuno akosa dhamana, apelekwa Segerea

    Mh dogo anaenda kuanzisha mashamba akasaidie kuzalisha chakula maana huku kitaa kakosa kazi.
  4. mwakaboy

    Wajumbe wa NEC CCM walaani maamuzi ya mwenyeketi.

    ...............mbele kwa mbele
  5. mwakaboy

    Muhogo mbichi na nazi vina msaada upi katika kufanya mapenzi?

    jaribu na wewe ndo utajua zinasaidia nini.
  6. mwakaboy

    Serikali yashindwa kuwalipa madaktari na wafamasia wapya wanaokwenda mafunzo ya matazamio(internship

    hela zilizobaki zote zina kazi ya kulisafisha goli la mkono liwe la mguu..
  7. mwakaboy

    Magufuli noma mdaraja zaidi ya 7200 yamejengwa katika 2005 mpaka 2015

    hilo daraja la kavuu hata huyo magufuli wako halijui na barabara ya rukwa to katavi imemshinda unatuletea porojo tu hapa..
  8. mwakaboy

    Je! Diploma hii ya ECKERNFOD TANGA UNIVERSITY inatambuliwa na NACTE?

    Je diploma in management and teaching inayotolewa ECKERNFOD TANGA UNIVERSITY inatambuliwa na NACTE au NTA?
  9. mwakaboy

    Tanzia: Mwimbaji wa Kwaya ya Lulu KKKT Mtoni George Njabili amefariki Dunia

    Mungu ailaze roho yake mahari pema peponi aminaa
  10. mwakaboy

    Pinda akiwa rais, nchi itaingia kwenye machafuko siku sio nyingi

    mh sie makabwela tutakimbilia wapi maana wenyewe vigogo watachukua uraia wa nchi mbili!
  11. mwakaboy

    Kwa hili, Pinda anawazidi Lowassa, Membe, Slaa na Lipumba

    acha kudanganya umma wewe,hayo mashamba ya kisasa ya asali yako katavi sehemu gani? huyo pinda wako hana msaada wowote.
  12. mwakaboy

    Nimepata mfadhaiko ndani ya daladala

    huo ni uzinzi unakusumbua,nenda kaombewe..
Back
Top Bottom