Kipindi kilichopita hata kucomment hapa ilikuwa haitakiwi. Umepewa uhuru wa kuongea unaongea pumba zako. Tozo ni kubwa kuliko ndege zlizonunuliwa bila kufuata utaratibu? Tozo na mikopo ya 29.5t iliyosababishwa na last regime kipi cha kukemewa. Losted sper*m shut up.
Mi nnachokiona ni suala la hang over ndo linamtesa. Imagne mtu aliyekuwa na uwezo wa kunywa chai Ikulu miezi kadhaa nyuma eti leo ghafla UVCCM walishampa onyo, shaka kamkemea, TCRA hawamtaki aongee, kuchanganyikiwa ni lazima
Mkuu mi sijaona pahala mlalamikaji amesema aondolewe kazini. Rudia kusoma Tena na Tena. Kama tatizo kweli lipo Basi asaidiwe kama alivyoshauri huyo mteja na kusaidiwa kupo kwa Aina nyingi aidha kuongezewa staffs, vitendea kazi n.k. kwanini umekimbilia kufukuzwa kwa Meneja? Kama sio muhusika hapo...
Mkurugenzi wa taasisi ya Munazzamat dawa Al islamiya ( MDI) Tanzania Bw. Ally Magoga akishirikiana na board of trustees wapo busy Sana kuitafuta serikali ya Magufuli.
Taasisi hii inamiliki shule za Ununio na Kunduchi girls. Ununio ilifungwa kutokana na ulafi uliokithiri wa viongozi na kupelekea...
Mkurugenzi wa taasisi ya Munazzamat dawa Al islamiya ( MDI) Tanzania Bw. Ally Magoga akishirikiana na board of trustees wapo busy Sana kuitafuta serikali ya Magufuli.
Taasisi hii inamiliki shule za Ununio na Kunduchi girls. Ununio ilifungwa kutokana na ulafi uliokithiri wa viongozi na kupelekea...
Mkurugenzi wa taasisi ya Munazzamat dawa Al islamiya ( MDI) Tanzania Bw. Ally Magoga akishirikiana na board of trustees wapo busy Sana kuitafuta serikali ya Magufuli.
Taasisi hii inamiliki shule za Ununio na Kunduchi girls. Ununio ilifungwa kutokana na ulafi uliokithiri wa viongozi na kupelekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.