Recent content by Mwaisa sokapa

  1. Mwaisa sokapa

    Dodoma: Askofu Gwajima afika Bungeni kuhojiwa na Kamati ya Maadili akiwa na ulinzi wa Polisi

    Kweli ww ni shujaa umepewa hadi ulinzi wa kukusindikiza kwenda kuwachana ukweli wao aisee sijawahi ona chuma kama hichi, songa mbele mzee Baba Gwajiboy
  2. Mwaisa sokapa

    Katika kukabiliana na UVIKO-19, ni sawa kuanza kuyachanja haya makundi yaliyopendekezwa na kamati ya Profesa Aboud?

    Siyo sawa kabisa na mm ni mmoja wapo ya hayo makundi na sipo tayari kuchanjwa mm wala familia yangu maana msemo wa Gwajima hatujui tutakuwa wakina nani baada ya miaka kadhaa huko mbele
  3. Mwaisa sokapa

    CCM: Tunafuatilia mienendo ya viongozi wetu wanaopotosha umma, kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wetu

    Gwajima ni mpenda haki na msema ukweli siku zote na kama kuna jambo haliendi sawa huwa siyo muoga kuliweka wazi tungepata viongozi kama Gwajima nchi ingekaa sawa.
  4. Mwaisa sokapa

    Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

    Hakuna kuchanjwa na hatuitaji hiyo chanjo huyo aliyeikubali achanjwe yeye. Baba Askofu Gwajima upo sahihi kabisa na sisi tunakusaport mzee Baba
  5. Mwaisa sokapa

    GE2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

    Maendeleo ya Kawe yataletwa na Gwajima tu hakuna mwingine.
  6. Mwaisa sokapa

    GE2020 Kawe ina heshima tayari, inahitaji maendeleo

    Kawe tunahitaji mtu kama Gwajima ili iendelee kuwa na heshima ikiambatana na maendeleo.
  7. Mwaisa sokapa

    Gwajima Unakumbuka hii? Ngoja nawe Ukerwe utie akili

    Siwezi kubishana na ww kwa sababu akili zako hazikutoshi hata ww mwenyewe. Halima tumemchoka awamu hii ni Gwajima kwa maendeleo ya Kawe.
  8. Mwaisa sokapa

    Gwajima Unakumbuka hii? Ngoja nawe Ukerwe utie akili

    Nikwambie tu ukweli kama ulikuwa hujui Askofu Gwajima anakubalika na wana Kawe na dini zote na atapita kwa kishindo hadi utashangaa na baada ya October 28 urudi tena na hii post yako tutakujibu tena.
  9. Mwaisa sokapa

    Gwajima Unakumbuka hii? Ngoja nawe Ukerwe utie akili

    Sasa kwa taarifa yako hao hao waislamu unao wasema wewe na hao wakatoliki ndiyo watamchagua kwa kura nyingi kuliko unavyodhani wewe. Gwajima anakubalika kuliko akili yako inavyowaza.
  10. Mwaisa sokapa

    GE2020 Wana Kawe kataeni mateso mengine ya miaka 5

    Na kamwe hatukubali tena kuingia utumwani kura zetu awamu hii ni kwa Askofu Gwajima tu.
  11. Mwaisa sokapa

    GE2020 Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

    Amefanya nini huyo zaidi ya kwenda mahakamani tu kila siku hata hakumbuki kama tulimchagua ili kutatua kero zetu awamu hii bora tumchague Gwajima tu anaweza akatuletea maendeleo ya kweli.
  12. Mwaisa sokapa

    GE2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

    Gwajima ndiyo kiboko wa Halima na safari hii atatokwa na jasho hadi la kwenye nanilihu yake maana hana sera wala hoja amepewa miaka 10 hakuna tulichokiona amekifanya Kawe barabara hakuna, shule mbovu, hospital ndiyo kabisa atakuja kutuambia utumbo gani ili tumchague? Akatafute bwana aolewe sasa.
  13. Mwaisa sokapa

    GE2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

    Ww utakuwa umekunywa K-Vanti ndiyo maana unaongea pombe pombe boya ww. Umemfananisha Gwajima na huyo mwenyekigoda wenu Mbowe maana yeye ndiyo alikataliwa na wananchi na huyo Bibi yenu Halima tulimtimua kwenye kata yetu maana hakuna alichotufanyia zaidi ya ile kazi yake ya kukoboa. R.I.P CDM...
  14. Mwaisa sokapa

    GE2020 Wananchi wa Kawe mnafahamu jambo hili?

    Gwajima atabaki kuwa juu tu wewe katafute kazi ya nyingine ya kufanya. Wana Kawe hatuna tena imani na wewe.
  15. Mwaisa sokapa

    GE2020 Wananchi wa Kawe mnafahamu jambo hili?

    Barabara za makongo juu zote ni vumbi tupu ametekeleza nini hapo zaidi ya kuandika uongo na unafki tu? Akajipange tena maana safari hii hatutamchagua tena
Back
Top Bottom