Sijui ndo umeandika nn? Yaani mnataka turudi kwenye ujima
Mnakuja hapa kusifia ujinga.Bibi yako wa kishumundu utamtumiaje pesa kwa haraka kama si mpesa au tigopesa? Kweli ukiwa .... Lazima zikutoke kidogo
tatizo watanzania wengi mnajua masters ' PhD ndo wanajua kila kitu.maprof wengi vilaza hata kujenga hoja hawajui na reasoning yao poor sana.MTU unasimama eti form six' mnyika ni great thinker kuliko hao maprof wenu viiyo wa ccm
mnamsifia zitto wkt escrow aliisha surrender bila kamanda mbowe kukomaa hatua zote hizi zingekuwa ndoto.msaliti mkubwa huyu na anajiona mungu mtu.atimuliwe tu tuone kama kuna jeshi la mtu mmoja.viva cdm
huyu mdada foxy hajitambui kachanganyikiwa kakosa ukuu wa wilaya kisa sura yake mbaya na flat makalio .amebaki kubwabwaja tu humu.huyo dawa yake sio kumchekea nikumpa makavu.wenzie makada wapo kimya kwa kuwa wanajua hili linagusa maslahi mapana ya taifa yeye kila kitu kukosoa.kwanza msimpandishe...
uoga wako tu .nchi ipo salama propaganda za kitoto tumezizoea.inakuwaje hakuna gaidi hata mmoja aliyekamatwa halafu wanasema wananchi wasiwe na hofu .huu ni uongo mtakatifu wa vyombo vya dola
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.