Recent content by mwaikenda

  1. mwaikenda

    Panya Road wavamia maeneo ya Magomeni, Mwananyamala na Kinondoni jijini Dar

    Makonda hayupo kwenye kundi hilo kweli
  2. mwaikenda

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    We hukupata huo mkwanja. Acheni kumbwela mbwela watu wamekula hela unakuja kutetea humu jamii forum ufala huo Yaani watu bwana hata huu wizi wa wazi bado mnatetea hivi mmelishwa nini watanzania jamaniii
  3. mwaikenda

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    so what kwani kwa Rais kuna azimio la Kumuondoa Mengi au fake oooh sor f...u.
  4. mwaikenda

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Historia inaonesha kuwa wote walioshindana na mengi hasa wanasiasa wote chali kuanzia akina Masilingi, Masha, Khan, hata huyu Muhongo atang'oka tuu
  5. mwaikenda

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Finance Act ya mwaka 2012 itammliza Muhongo
  6. mwaikenda

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Kama mimi kibajajai wewe ni "kiguta" a.k.a guta Mkuu
  7. mwaikenda

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    team marato hahahaha! Hatari sana Mkuu
  8. mwaikenda

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    umetumwa na pia umetumika.Tumesom wote nakufaham vizur kwa hili umetumwa
  9. mwaikenda

    Rais Kikwete amteua Justice Prof. Ibrahim Juma kuwa mwanasheria mkuu (AG) Mpya

    Profesor Ibrahimu Juma alikuwa pale faculty of law Udsm na Mbunge wa Chalinze wa sasa alidisco ila prof Juma akiwa dean of faculty alifanya anavyojua mpaka Riziwani akamaliza degree yake na siku chache baadaye Prof juma akateuliwa kuwa jaji wa mahakama
  10. mwaikenda

    Ikulu yatoa msimamo juu ya Tamko la UKAWA kutaka bunge la katiba liahirishwe

    Kwa kuwa sio mwansheria hapo sawa tuachie sisi. A PERSON IS THE ONE WHO MAKE APPOINTMENT.......
  11. mwaikenda

    Ikulu yatoa msimamo juu ya Tamko la UKAWA kutaka bunge la katiba liahirishwe

    Si kweli kwamba Rais hana uwezo wa kulivunja Bunge Maalumu la Katiba kama ilivyonukuliwa na vyombo vya habari from state House. Kifungu cha 27 cha sheria ya mabadiliko ya Katiba Sura ya 83 ya mwaka toleo la 2013. ina sema hivi: 1.Kwa kuzingatia masharti ya Sheria yoyote ya Bunge Maalum...
  12. mwaikenda

    Hatimaye jimbo la Ubungo lapata viongozi wapya

    mmeweka vyeo makamanda ambavyo havipo kikatiba pliz u nid to make cherk up on that" who is mhamasishaji" in the katiba
  13. mwaikenda

    Lissu ni mwanasiasa wa kwanza wa upinzani kuandika historia ya kuzomewa UDSM Nkurumah hall

    Chuo kimefunga wale walikuwa ni vijana wa Buguruni sokoni wamepelekwa na UDA.
  14. mwaikenda

    Hotuba ya Rais Kikwete ya Mwisho wa mwezi Julai, 2014

    Kuna boga la Bagamoyo limeiva anaye taka kula aje
Back
Top Bottom