Recent content by Mwafrika mmoja

  1. Mwafrika mmoja

    Wabongo wanapiga pesa YOUTUBE

    Inategemea na aina ya content unazoweka, mfano mwanamke ambaye anapenda kupika kila siku anaweza kurekodi video moja na kupost baada ya muda lazima itamletea matunda ....
  2. Mwafrika mmoja

    Wabongo wanapiga pesa YOUTUBE

    Habarini za Asubuhi wakuu humu ndani, bila shaka mmeamka poa na kwa wale ambao wanaumwa basi namuomba Mungu awaponye kwa uwezo wake Aamin ! Leo nimekuja na hii Biashara nzuri ya kuanzisha YouTube channel ambayo inaweza kukuingizia hadi TSH 300,000 kwa mwezi huku ukiwa unafanya shughuli zako...
  3. Mwafrika mmoja

    China ilikuwa sawa na Tanzania, leo wao sawa na Marekani

    Inasikitisha sana, na kwa hali tunayoenda nayo tutakuja kustuka miaka mingi sana ijayo
  4. Mwafrika mmoja

    China ilikuwa sawa na Tanzania, leo wao sawa na Marekani

    Nimekuwa nasoma na kusikia kuwa wakati Tanzania tunapata uhuru tulikuwa sawa au karibia usawa na China kiuchumi na ndiyo maana walikuwa marafiki zetu, sasa nikawa najiuliza sana walitupitaje? Na hizo njia walizotumia kujikwamua ni siri kiasi kwamba sisi hatuwezi kufuata?, ikanibidi nitafute...
  5. Mwafrika mmoja

    Milioni 8 yako itakupa milioni 20 kwa mwaka mmoja !!

    Changamoto zipo kupambana nazo, hata hivyo siyo kila atakayejaribu atafanikiwa wengine watafeli na kukata tamaa
  6. Mwafrika mmoja

    Milioni 8 yako itakupa milioni 20 kwa mwaka mmoja !!

    Hatuwezi wote kutajirika, watakaotajirika ni wale wenye hiyo mitaji, ubunifu, juhudi, nidhamu ya pesa na kumtegemea Mungu
  7. Mwafrika mmoja

    Milioni 8 yako itakupa milioni 20 kwa mwaka mmoja !!

    ODDS zina risk sana unaweza kula hiyo pesa ukapata hamu ya kucheza tena ukaweka mil 10 ikaliwa ukaweka tena mil 10 ukaliwa .... unabaki na 0 :D :D
Back
Top Bottom