Mwaka 2026 dunia sasa inakimbia sana, mambo yanabadilika kila baada ya sekunde 30 lakini kwa nchi nyingi za Afrika. Inawezekana kabisa mambo yanabadilika.Kila baada ya wiki 30.
Huwa inaumiza sana na kushangaza, katika karne ya 21 mwaka 2026 unakuta binadamu wanagombania usafiri kituoni mpaka...
Katika Dunia hii ambayo wote tumezaliwa tumekuja hatuna hata soksi, kila kitu tumekikuta basi tambua kuwa hakuna kitu HAKIWEZEKANI.
Mitandao hii hii ambayo tunatumia kila siku.
Kuna watu ndiyo inawaendeshea maisha. Kuna watu wamejenga, wamenunua magari, kuna ambao hawataki kuajiriwa.
Iko Hivi...
FIVERR ni soko la mtandaoni linalokuunganisha na watu duniani kote wanaohitaji huduma hizo na wako tayari kulipia ukiwa tu na kipaji au ujuzi wowote, labda kuandika, kutafsiri, kutengeneza logo, kuhariri video, kusimamia mitandao ya kijamii, kurekodi sauti au hata kuingiza data.
Leo nakupa...
Email yako ya Gmail, kitambulisho cha taifa kwa ajili ya kuverify identity, majina matatu na namba ya simu...... taarifa za bank utaweka mwenyewe ili wawe wanakutumia hizo pesa
Hiyo ya technician ni ipi?, kama huna skill yoyote unaweza kuweka huduma ya kuwatumia watu wa nje kitu chochote halali wanachohitaji kutoka Tanzania, yaani unatafutia mfano unga wa mtama 😀 halafu unawatumia, baadaye ukipata skill nyingine unaongeza huduma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.