Bosi bila kumung'unya maneno umegongewa.....hiyo night wlikuwa analiwa............ndo maana hakutaka usumbufu wako kwa jamaa aliyekuzidi mbinu na utaalamu...........ukipenda amini ukiona haiwezekani fanya mtandao ulikuwa unasumbua
Mapenzi bwana............hivi hapi anajaribu kuamini kama hawakufanya chochote.........hakuna mwanaume mjinga kiasi hicho aiseeeeeeeee......ukweli ni kuwa hamaaa anapiga ile kisela.....ila wewe ndo mhusika mkuu.......eti godolo la chini......hakuna kitu jama hicho afrika mashariki na kati
Inakela sanaaaaana mkuu......ushauri.......tulia kimyaaaaaaa acha maisha yaendeleee.....il take care........yale mahag ni ishara ya shaka kuu....cha kufanya....hakikishavunaipata no ya jamaa.....kisha fuatilia kwa siri kama wanawasiliana.......ila jikaze asijue.......akijua unamfuatilia...
Mke wangu anaumri wa miaka 25, ana mtoto wa miaka 5 na amekuwa akichoma sindano za uzazi wa mpango.
Kwa sasa ana mwaka hajachoma tena, amekuwa na tatizo la kukosa kusikia radha ya tendo la ndoa licha ya kuwa na hamu kufanya tendo la ndoa.
Naomba msaada wa ushauri/tiba
Kwa mwenye uelewa, naomba maelekezo ya nini hasa husababisha mwanamke kukosa hamu ya tendo na kutohisi chochote wakati wa tendo la ndoa kwa mwanamke...nini tiba yake? Thx in advance
Wanaumwe hawapatagi UTI kutokana na maumbile yao....pia haiambukizi kwa njia ya sex........ninacho hisi hapo....atakuwa ametembea na mwanamke mwenye gonjwa na zinaa....ametibiwa ila ana wasiwasi asije akawa amekanyaga moto.....sasa kwa vile anasex na wewe kavu.......anataka kukutumia wewe kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.