Tukumbuke kufeli kwa malezi ya kizazi kilichopita ndo kumepelekea kutokua na nidhamu kwa kizazi hiki kwahyo msiwalaumu watoto wa sasa ila wazazi na kumbuka samaki ameshakauka na hta mkifunga vituo vyote vya televishen msizani ndo kutabadilisha hali hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.