mwabhalase
Member
- Mar 31, 2016
- 7
- 5
Kaserere wapi juhudi zte zile siamin Kama hayupo
Hii ni safu ndugu ilikua 2002, Kuna wengine hivi sasa ni wabunge mfano hiyo wa Kirombelo.Kaserere wapi juhudi zte zile siamin Kama hayupo
Umesoma changa la macho hii si mpyanimefurah kumuona bakar nalicho ana utu sana
We mama nawe mbona unakurupuka! Uzi wa miaka minne iliyopita!Beti mkwasa amepelekwa WAP mkuu
We mama nawe mbona unakurupuka! Uzi wa miaka minne iliyopita!
Ukapimwe wewe si bureMaskini wakuu wa wilaya...siku hizi heshima yao ipo mavumbini, hawaheshimiwi kabisa. Yaani ni walimu na wakulima tu ndio wamebaki wanawaheshimu.
Vita Kawawa ni mkuu wa mkoa or somethng.Shabani Kisu naona hayupo. Alikuwa Kondoa.
Wapi VITA KAWAWA hii si awamu ya 4 aisee.