Waulizeni BUNJU BEACH SACCOS jinsi alivyowatapeli shs. Milioni 30. Ni mwaka wa sita sasa. Alikuwa hajawa DC wala mbunge .
Sent using Jamii Forums mobile app
Tell us your value.. We will score you rightly...You are too low compare yourself with BENEDICTO MUTUNGIREHI. Go back to square one and evaluate your thinking before spitting out such a shit
Inayolipa ni ya kushinda jf mnapiga miayo na hekaya za abunwasi ??? Miaka mitano baadae unaanza kulia umaskini.... Wake up kabla haujamaskinika ..hahahahhaa
Zakaria anazalisha sukari...zungumza vitu ambavyo una ushahidi navyo...kama huna hukika unachosema kaa kimya..
Usitake kupotosha lengo na dhamira ya Mh. Rais katika hili
Nchi haiwezi kuvumilia uhuni na magenge (cartels) yasiyo na nia nzuri na taifa. Ni lazima kama kiongozi wa nchi achukue...
ivi Makene kazi yake huwa ni kutangaza mikutano ya kamati kuu tu....ni kama vile idara ya habari CDM imekufa...
He needs to gauge himself if he is still fit and relevant for the position
Sioni ubunifu katika idara hii ...poleni CDM naona mnazama mdogo mdogo
Kwani tatizo lilikuwa ni kuingizwa au kutoingizwa kihalali?? Tatizo kwa maelezo ya mh. Rais tatizo ni kuficha sukari kwa lengo la kusababisha uhaba wa makusudi sokoni...wala hapa TRA haousiki na suala hili...kuficha bidhaa kwa lengo la kusababisha uhaba kwa makusudi ni JINAI sasa tangu lini TRA...
Ndugu yangu umegusa penyewe..tunakoelekea tutasababisha majanga mawili makuba
1. Kuvurugwa na kushuka kwa taaluma vyuoni..bahati mbaya sana walimu wengi wanaoteuliwa wanatoka katika chuo kimoja..tutajikuta vyuo vina upungufu mkubwa wa wabobezi katika maeneo kadhaa
2. Madhara ya kushuka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.