Si bure bado yuko kazini..... Wamesoma dalili za mvua kuwa kwa mwenendo anaokwenda nao mkuu mwaka 2020 Kazi itakuwa kubwa so anarudishwa huyu ili kuendeleza mile alichofikiri amekikamilisha kabla ya uchaguzi mkuu.
Wananchi gani hao wenye kutazama mbele....hawa
1.Walioahidiwa milioni 50 Kila kijiji wakasahau kudai? (Ahadi ni deni)
2. Hawa hawa waliopotezwa kwenye hoja muhimu kama za sukari, Lugumi?
3. Na nyingine nyingi?
Wadanganyika tunayo safari ndefu.....
Alitoa promo akapata hits za kutosha....akanogewa. Badala ya kukamilisha wimbo karukia kutambulisha vibwagizo vya nyimbo nyingine nyingi tu....ya mwisho ni ya barabara ya kuelekea kwa Mzee wa pale Ubungo Riverside........
Hahahah amesahau kuwa anaishi katika jumba la vioo karusha jiwe ... Hawa watu bwana. Ndio maana yule kiongozi alisema akili za mbayuwayu... Nadhani alikuwa anazungumzia vivid examples za watu wake ....
Meela mimi nadhani CCM bado ni chama cha magamba. Ugamba uko katika mfumo wa chama na sio watu. Hao waliotoka ugambani wanakuja kuingia katika mfumo mwingine hivyo sio rahisi kuona wakichafua chama maana mfumo ni tofauti.
Kuwa na amani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.