Recent content by Mvumilivumie

  1. M

    Nahitaji Viagra Original-Nipo Dar es Salaam

    Habari zenu jamani. Jamani naulizia ni wapi nitaweza kupata Variety mbalimbali za viagra hapa Dar es Salaam. Napenda ziwe dawa originals na si hizi ambazo hazina TBS au FDA. Tafadalini naomba mwenye kujua sehemu hapa Dar anielekeze. Natanguliza shukrani.
  2. M

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Naomba niweke wazi hapa kwamba sina chanzo chochote tofauti na hisia zangu na uwezo wangu wa kuangalia siasa na hali halisi ya uchaguzi mkuu mwaka huu. Mimi kama mfuatiliaji wa mambo mabalimbali, naweza kujenga hypothesis based on kinachoendelea katika jamii. Ki ukweli, hali ni mbaya sana kwa...
  3. M

    Taratibu za kupata talaka tafadhali!

    Ahsante kwa ushauri wako.
  4. M

    Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    I can understand how you feel about your country.
  5. M

    Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    Kwa hizi pics tu na ukasoma nyuso za watu zikiwakilisha mioyo yao, utaeza kuona ni kwa namna gani watanzania katika ujumla wao wamesema " ENOUGH IS ENOUGH FOR CCM, IT IS NOW TIME FOR CHANGE". Dear Lord in Heaven, I ask you in the name of Jesus Christ, to take control of every move so that the...
  6. M

    Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

    The boss uko sahihi. MM anapigania zaidi ya Chama.
  7. M

    Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    Tuko, ujue huyo dada ana Master degree tena kasomea nchi za Scandnavia. Ila ukiangalia argument zake utabaki unajiuliza maswali mengi sana kuhusu kuelemika kwake. Mimi sasa hivi namignore, kwani ni mweupe sana. Hata sihangaiki kusoma comment zake. Anasikitisha sana huyu dada, kwani wapare ni...
  8. M

    Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    Ninasikitishwa sana na vijana wenzangu ambo wamekwenda shule lakini bado hawajaling'amua hili la mfumo ambalo limekuwa kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi yetu. Hivi sisi Watanzania tunajulikana duniani kwa lipi jema??? Kwani hata katika nchi bora zenye amani hatumo. Inasikitisha sana...
  9. M

    Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

    Kaunga, Umesema kweli. Lengo lake lilikuwa nai kugombanisha watu CHADEMA has baada ya kuona kwamba ushauri wake haukuchukuliwa na CHADEMA. Pia ukumbuke, MM yuko against Lowasa hata alipokuwa anagombea CCM. Jambo la kumshukuru Mungu ni kwamba, hilo jaribio lake linaelekea kufeli, kwani Dr. Slaa...
Back
Top Bottom