Recent content by mvumilivu sana

  1. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    masai dada umeona alivyo miss chagga?
  2. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    Yaani hii itakuwa mara yangu ya kwanza kushindwa, miss chagga nakutakia kila kheri ila kumbuka ukiwa na ATM ya Master card haimaanishi unahela maana akaunti yaweza kuwa Dormant
  3. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    My Lady hiyo Visa ni ya benki moja hivi mpaka sasa hawana Master Card, ninavwateja wengi sana wanatumia hiyo benki so lazima niwe na hiyo card
  4. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    Nafurahi kuwa umekubali mwenyewe kuwa humuwezi mtoto miss chagga, asante sana sana
  5. mvumilivu sana

    Bunge kuvurugika kesho J'tano: Sitta kuwasilisha mabadiliko ya kanuni hizi...

    Mwana Mpotevu nakupongeza kwa taarifa yako ya jana, taarifa ilikuwa sahihi kabisa. Usichoke kutujuza
  6. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    Umenisumbua kupiga picha wallet yangu lakini poa, miss chagga much love to uuuuuu
  7. mvumilivu sana

    Kumbe Lipumba alishinikizwa na Mbowe na Mbatia kujitoa kwenye Kamati ya Uongozi

    Naona unaandaa mazingira ili mabadiliko mtakayoyafanya yaonekane mazuri eeeeh? Eti mwenyekiti aongeze wajumbe watatu yaani Lipumba, Mbowe na mbatia hahahaha.
  8. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    Muamuzi kama na wewe huwezi kujua kuwa nimeshida basi naelewa kwanini ulijipendekeza kwa muamuzi. miss chagga miss u arleady
  9. mvumilivu sana

    Bunge kuvurugika kesho J'tano: Sitta kuwasilisha mabadiliko ya kanuni hizi...

    Mfumbo wa electronic si mfumo wa siri maana ni rahasi kujua nani kapiga kura na kasema nini Ccm mnakeraaaaaaaa
  10. mvumilivu sana

    Bunge kuvurugika kesho J'tano: Sitta kuwasilisha mabadiliko ya kanuni hizi...

    Yaani hata nashindwa niseme nini, Mungu wangu yaani kama ni kweli hali ni mbaya
  11. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    Wala sitishiki miss chagga umemuona hapo juu?
  12. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    Niko tayari kwa kila kitu na tutawezana tu nitamtimizia kila atakacho just kusikilizana, kuhurumiana, kushauriana na kuthaminiana. Pesa kitu cha kawaida sana kwangu.
  13. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    Unaongea theoretical sana ze jackal, kwani ukiwa mwanafunzi lazima uvae uniform?
  14. mvumilivu sana

    Jamani natafuta mwanamke wa kuchat naye

    Huyo lusungo hawezi kuwa na mtoto anayedeka maani hajui ku care hata kidogo, najua miss chagga kama wasichana wengine anapenda mtu anayejua ku care, mwenye pesa na mwenye sifa kama ya jina langu.
Back
Top Bottom