Recent content by Muzii

  1. Muzii

    Atakaye ahidi kujenga bwawa kubwa la umeme mto Msimbazi ili kumaliza tatizo la umeme Dar es Salaam nitampa kura zangu zote

    Usi umize kichwa bure mtoa mada anajaribu kuonyesha kuwa ikiwa bwawa la Mwalimu halitoshi hadi umeme ukatike katike kila mara, basi Msimbazi ichukue nafasi, kwa Tanzania lolote linawezekana
  2. Muzii

    Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba

    TFF Nao wajitasmini katika kupanga muda wa mchezo hasa timu hizi mbili iwe mchana na si usiku, hii itaendelea kusababisha migogoro ya kutafuta
  3. Muzii

    Arusha: Kijana amchoma visu binti wa kazi hadi kumuua

    Kijana wa hovyo kabisa kama ndiyo hivyo vilevi vyao vinasababisha hayo kwa nini hakumfanyia huyo mama yake
  4. Muzii

    KERO Sifieni mnavyoweza lakini huku Goba maji tunaletewa mara Moja kwa wiki tena usiku mnene

    Bwawa la Mwl Nyerere maji wanayaachia, yafue umeme na yatumike kwa mahitaji ya kibinadamu badala ya kuyaacha yaende baharini
  5. Muzii

    Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

    Kwa hiyo wake za watu nao ni tatizo sasa kwa nini bodaboda wawe wahanga wa jambo hili, mwamba akigundua au kuona ni vyema adili na mkewe kwani ameombwa mara ngapi ni suala la yeye kukataa anapokubali basi mwenye tatizo ni mwanamke, wanaume wameumbwa na tabia hizo za kupenda na kuomba wachache...
  6. Muzii

    Siri ya kwanini Lissu anaungwa mkono na Wanaharakati na siyo Mbowe

    Maoni yako ni dhahiri japo mimi si muumini wa siasa ni kweli kwamba TAL si mtulivu na mvumilivu katika siasa matokeo yake itapelekea yeye kuvuka taratibu na hatimaye atatumia muda mwingi kupambana na vyombo vya Dora, hali hiyo itadhoofisha harakati za kukipeleka chama mbele.
  7. Muzii

    Jinsi zimwi alilotengeneza mamdogo baadaye likamla yeye mwenyewe

    We bwana wee tusubiri hadi kesho tena aaah
  8. Muzii

    Yanga anauwezo wa kushinda mechi ya ugenini dhidi ya MC Alger kwa sababu hizi

    Hizo mbinu ulizozitaja wale jamaa hawazijui kwa sababu wamezianzisha Yanga jamaa watapotezwa sana na Yanga kupata ushindi
  9. Muzii

    Naenda Dar kununua pikipiki used mbagala zakhiem nina kesh ya 1.2m

    Kweli mkuu kuna mwingine analia humu kwa simu ya kuokota vya karibu na bure vina gharama asije akanunua kesi ya mtu alisha nyang'anywa Uhai
  10. Muzii

    Natengeneza friji, friza na viyoyozi

    Kiyoyozi cha type ya window kimezima ghafla na hakifanyi kazi tatizo ni nini
  11. Muzii

    Halikua lengo la Mungu binadamu tujisitiri tupu zetu. Pongezi kwa shetani

    Najaribu kuwaźa binadamu tungekuwa tunatembea watupu ingekuwaje, kwani sasa hivi tu kuna watu pamoja na kuvaa nguo bado wanatisha kwa maumbile yao
  12. Muzii

    Ukituma sms yeye neno "SEX" kwa mtandao wa TIGO ujumbe haziendi/kumfikia mlengwa nani kuruhusu hili?

    Hata miamara haikamiliki ukitumia +255 au ukitenganisha namba za simu
  13. Muzii

    KERO Zoezi la uhakiki wa taarifa NMB

    Umesema kweli halafu unakuta mshahara unapitia kwao na una mkopo ili uwalipe lazima mshahara upitie kwao, wanafungaje account yangu. Basi kuwpuka usumbufu huu kushindishwa njaa, kupoteza muda wa kufanya kazi mimi nitakwenda baada ya zoezi kuisha najua nao account yangu wanaihitaji sana tu.
  14. Muzii

    Misururu mirefu na misongamano ya vijana kujiandikisha kujiunga na Chama cha Mapinduzi ni mikubwa mno. Hongereni sana vijana Tanzania

    Ikumbukwe pia kwamba, kuna kujiunga kwa kushawishiwa kwa kupewa kitu au kuahidiwa ila katika swala la uchaguzi linabaki ni uamuzi wa mhusika.
  15. Muzii

    Kwanini mnatupiga picha bila ridhaa yetu?

    Tredi tayari jamii forum pazuri jamani hapa boi wala kupoa usikose bando tu
Back
Top Bottom