Kaka beat achana nayo ile c ya kitoto
Ikipigwa kwenye concert ma binti wanatupisha kidogo dancing floor wabishi tutambe!!!!daa ile tym ilikua nzuri sana ukizingatia maisha yalikua kidogo angalau sio Kama sasa pia no
majukumu nyumbani unadanganya tu tupo camp na marafiki tunajisomea unavuta...
Kwa vijana wa mjini dar kuna mtu alikua anaitwa mkandawile mkali wa chemistry anafahamika sana kwa tuition pia alikua ni mwalimu wa chemistry kwa A level pugu boys wakati huo mm nilikua O level miaka ya 1997-2000...kama huyu aliwezaje kuwa mwalimu kwny shule ya serikali wakati serikali inajua...
Mimi pia nashangaa sana..zamani wakati nipo Advance nilifikiri ni upungufu wa walimu especially science ambayo nilikua naiona sana sababu mm pia nilikua nafanya PCM lakini badae baada ya kuingia chuo nikagundua walimu wapo wengi sana
na bado graduates wa coarse zingine wanaendelea kufundisha...
Asante sana the don kwa ushauri wako...yani inanisumbua sana sababu kila nikiamka ni mjuto tu ya kutumia pesa zaidi na nilivyopanga,kukosana na watu ninaowaheshimu,kukosana na mwezi wangu kwa kumjibu vibaya nikiwa nimelewa pia zaidi ya yote I miss meditation!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.