Nadhani waziri afanye reference hapa je hizi tani zote zilikaguliwa kuangalia ubora wa mawe au yalijazwa kwenye container na kusafirishwa. Tuwe makini tunapo toa matamko tunaweza kutoa tuhuma kwamba watu wametorosha kumbe ni uzembe wa watendaji wakapelekea hiyo pesa kupotea hivyo kama waziri...
Masikini hivi tido ni muislam nenda kaulize position yake pale halafu ingia upande wa finance IPP uangalie wahindi wapo wangapi usifikie conclusion bila reseach halafu by the way sheria hamkatazi mtu binafsi kuajiri watu awatakao. Ila naomba uniambie TBC katika ile top management waislamu wapo...
Hivi kunamtu anateseka??? Au kunamtu alikufunga kamba kununua king'amuzi cha azamu mbona vipo ving'amuzi vinamambambio ya kutosha na kumsifu bwana hawaendi kununua acheni to go mbaya mmekuwa kama wanawake wa kizaramu kuku mle nyie mpangaji akipika anachafua nyumba kwa harufu usioipenda...
Sawa ila hiyo dini unayoita ya kihuni ninamuongozo wa watu waishi vipi kati ya waislamu kwa waislamu na waislamu na watu wa kitabu na waislamu na washirikina waabudu masanamu na mizimu. Sasa wewe dini yako isiyo ya kihuni haikufundishi hata utaishi vipi na mkeo na kwa muingiliano upi uishi vipi...
Tatizo huelewi uislam uislamu unasheria inayomsimamia mtu kutoka anapozaliwa hadi anakufa uislamu ni mfumo wa maisha uliokamilika tofauti na ukristo ambao hauna sheria bali ni mahusiano ya mtu na muumba wake kwa hiyo huwezi kufananisha hivyo vitu viwili ndio mana ukristo hauonyeshi muingikiano...
Huu ni uongo uliokithiri kwani hao waislamu hawapiki futari hawawapikii wangonjwa na watoto wao wanachopinga ni kula holela mitaani na kuuza vyakula holela mitaani ila kwako nyumbani unaweza kujipikia chochote ila sio ukapike barazani barabarani ambayo kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya...
Ikiwa inamaanisha nini hiyo 7Road? Ndio barabara ya saba? Ukifuatilia nature ya hizo barabara ni kuanzia barabara ya kwanza sio barabara ya moja hivyo katika kuhesabu unatakiwa uweke first road second road 3rd road 4th road etc sasa unaposema 7 road unamaanisha nini??
Tanga maeneo ya ngamiani wameweka vibao hivi kuonyesha mitaa ikiwa kwa kiswahili na kiingereza kwa maoni yangu nafikiri kwa kiingereza wangeandika 7th Road au Road # 7 badala ya 7Road kwangu mimi hii haipo sawa viongozi wa jiji la Tanga rekebisheni hii aibu kama hatujui nafuu tungeandika...
a ha uongo we we mimi Biharis ninaswali Marakibao kwenye hiyo misikiti sass we we unaleta uongo wako hapa tactual balancesheet ya bakhresa uangalie kama kunamisikiti mule achaunafiki we we Kama hujuikitu kaa kimya tukuelekeze wenyedini yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.